Wakuu huyu 'Mama Ntilie' anapataje faida? Naona kama nimefaidi zaidi Ugali mboga 7

Chakushangaza huyo mdunga midawa kila kukicha anamzalia watoto, huo muda sijui huwa wanaupata wapi
 
Vyakula vya kibiashara huwa vichafu
 
Kuku waliokufa (kubanwa na matenga) huko sokoni
 
Chakushangaza huyo mdunga midawa kila kukicha anamzalia watoto, huo muda sijui huwa wanaupata wapi
Anambaka maana yeye halipi kodi ya chumba mke wake ndo mlipa kodi na akikataa ni kipigo. Mtaani ni hekaheka mpaka anakuja na mateja wenzake kulala mle. We acha tu dunia ina mambo. Kila uzi humu ni kusema wanawake lakini tungeanza kuongea JF ingejaaa na kuwa kushindwa kutembea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu usinivunje mbavu zangu
Ushasahau mi ni daktari? Zikivunjika naziunga mwenyewe au nakubasilishia za kwangu afu tunakuwa mwili mmoja
 
Mtu usipo jitambua unateseka sana, kwanini asirudi kwao hata kama ni kijijini kuliko kuteseka hivyo, hao mateja na wao huwa hawapati hapo kweli kuosha mikia yao jamani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa babu
Ushasahau mi ni daktari? Zikivunjika naziunga mwenyewe au nakubasilishia za kwangu afu tunakuwa mwili mmoja
 
Hahaaaa!
Mwiko uliotumiwa kupikia na upawa ni mikono ya watu.
Maji ya ugali usikute ni maji yaliyotumiwa kuoshea .......
Bamia- ulimi
Maharage - kinyesi cha mbuzi

Hayo maelezo ni kwa mujibu wa uzi mmoja wa mshana unaomhusu mama ntilie mdigo
Duh!!!
 
Mtu usipo jitambua unateseka sana, kwanini asirudi kwao hata kama ni kijijini kuliko kuteseka hivyo, hao mateja na wao huwa hawapati hapo kweli kuosha mikia yao jamani?
No comment! ila kwa wakati huu huyo dada amehama na anaishi kwangu ingawa mimi sipo. Ilibidi akimbie sasa ana miezi miwili. Nipo porini ambapo hawezi wasiliana na mimi ila nimepata mawasiliano kuwa yupo kwangu.
 
No comment! ila kwa wakati huu huyo dada amehama na anaishi kwangu ingawa mimi sipo. Ilibidi akimbie sasa ana miezi miwili. Nipo porini ambapo hawezi wasiliana na mimi ila nimepata mawasiliano kuwa yupo kwangu.
Haaa na huyo bwana akijua yupo kwako, au ndiyo mnajuana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…