skendo
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 212
- 102
Heshima kwenu wakuu.tumekua na mabishano na wenzangu hapa kazini kwa mda mrefu sasa kwani kila mtu amekua akitoa tafsiri yake katika hili.
Issue ni hii.
Neno mboga tafsiri yake ni ipi?maana wengine wanasema mboga ni zile za majani tu mfn.mchicha,chaina nk. ila huwezi kuita nyama,samaki ama uyoga mboga.ila samaki,nyama ni vitoweo haziwezi kuwa mboga isipokua tunaita mboga kimakosa
jamani hoja hii ni kweli?kwa wale wenye ujuzi wa kiswahili msaada tafadhali
Issue ni hii.
Neno mboga tafsiri yake ni ipi?maana wengine wanasema mboga ni zile za majani tu mfn.mchicha,chaina nk. ila huwezi kuita nyama,samaki ama uyoga mboga.ila samaki,nyama ni vitoweo haziwezi kuwa mboga isipokua tunaita mboga kimakosa
jamani hoja hii ni kweli?kwa wale wenye ujuzi wa kiswahili msaada tafadhali