Wakuu! Je, hiki chuma kinafaa kuwekewa grisi?

Sasaivi kila kona mtaani na mtandaoni ukisema mambo magumu unaambiwa weka grisi weka grisi imekuwa habari mbadala wa vyuma kukaza sasa utaeza weka grisi kwa sehemu kama hii kweli??
mkuu hapo weka jik
 
Sasaivi kila kona mtaani na mtandaoni ukisema mambo magumu unaambiwa weka grisi weka grisi imekuwa habari mbadala wa vyuma kukaza sasa utaeza weka grisi kwa sehemu kama hii kweli??
akija kaz icho kina kutu kabisa kitupwe
 
Sasaivi kila kona mtaani na mtandaoni ukisema mambo magumu unaambiwa weka grisi weka grisi imekuwa habari mbadala wa vyuma kukaza sasa utaeza weka grisi kwa sehemu kama hii kweli??
Mkuu uchochezi huo na je unajua takwimu yake kwanza![emoji23] [emoji23]
 
Vyuma lainiiiii....vimekaza kwa misheni town
 
Sasaivi kila kona mtaani na mtandaoni ukisema mambo magumu unaambiwa weka grisi weka grisi imekuwa habari mbadala wa vyuma kukaza sasa utaeza weka grisi kwa sehemu kama hii kweli??
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Sasaivi kila kona mtaani na mtandaoni ukisema mambo magumu unaambiwa weka grisi weka grisi imekuwa habari mbadala wa vyuma kukaza sasa utaeza weka grisi kwa sehemu kama hii kweli??
Kojolea kwanza. ...
 
Mh mkuu hicho nichakutupa maana hata ukiweka gris haitasaidia
 
Sasaivi kila kona mtaani na mtandaoni ukisema mambo magumu unaambiwa weka grisi weka grisi imekuwa habari mbadala wa vyuma kukaza sasa utaeza weka grisi kwa sehemu kama hii kweli??
Mkuu hio kitu ilikuwa ndo pot ya kukojolea maana kutu lake la mkojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…