Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
πMi namuonea Zuchu huruma sa itakuaje boss kakumwaga ni soooooooo bora hata yy ndio angelianzisha yeuuuu.
Nisamehe.Sirudii tena.Nilivuta bangi.[emoji23][emoji23][emoji23]khaa!
Hii cc: kumbe imerudi. Nimepitwa
Ukihesabu vizuri unaona ni mawili kweli?Aseenmoja kivipi
Chukua wewe kwan hutaki hiyo mizigoView attachment 2875164
Kama haufagilii mizigo mikubwa mikubwa ya Sheikh Kipozeo unapenda wastani basi mali hii hapa imerudi sokoni wakuu.
Hata mie nahisi.Anataka kutoa nyimbo mpya au??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha mnoo wallah.Hii cc: kumbe imerudi. Nimepitwa
Makubwa kwakweli hata mi nimepita ππ€πHii cc: kumbe imerudi. Nimepitwa
Na tatizo liko hapa[emoji848]Wataweza kuendelea kufanya kazi pamoja kama professionals sasa? Au ndo Kila kitu kimeharibikaa
Nilimkuta nauza ugali, nyama choma na kichuri huko Sirari..π€£Zuchu ni nani huko mjini Daslamu.?
[emoji23]vitoto vya shetaMambo wanayo penda watu kusikia, aisee!