ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wakuu toka mwezi huu uanze nimesikia vifo vya watu ninaowajua Zaid ya 10.hali inatisha Sana naona watu wengi Sana wana danja.israeli hajatumwa kumaliza Tena watu kwa gharika au Moto Sasa hivi anakuja kukuchukua jumla jumla yaani hata nafasi ya kuumwa na kulazwa ndani ya week hutapata anakuja kukuchukua mzima mzima.unaweza ukaumwa TU kichwa ukafa.vifo vya ghafla ukiumwa Sana Ni siku mbili tu.kwa hiyo nawapa tahadhari muwe makini sana dunia imekuwa na watu wengi Sasa inaamua kupunguza kadhaa.siwatishi lakini nawasihi TU muwe makini hakikisha muda wote unakuwepo sehemu salama na unakuwepo muda sahihi.mwezi wa pili wa tatu na wa nne na wa tano jitahidi Sana urudi kwenye ibada.watu wanaondoka mpaka sio poa.na hasa vijana kwa sababu hatusikii