Kumbe "umeshasajiliwa" tayari. Kama ni hivyo, huyo anastahili. Si ana kadi ya usajili. Na kama ni rafiki wa kudumu, huyu pia kula kupewa bure halali yake. Lakini Vinginevyo, siyo kwa karne hii ya 21. [emoji119] [emoji119]Hapa nilipo kuna mtu huwa nampa buree kabisaa bila hata kumuomba chochote hata asiponipa nauli
Hii yote ni kwa sababu tu nampenda namheshimu kwahiyo yeye atakavyojisikia maana tunafurahishana akinipa mimba najua tu atalea mwanaeee
Kumbe "umeshasajiliwa" tayari. Kama ni hivyo, huyo anastahili. Si ana kadi ya usajili. Na kama ni rafiki wa kudumu, huyu pia kula kupewa bure halali yake. Lakini Vinginevyo, siyo kwa karne hii ya 21. [emoji119] [emoji119]
Kupendwa raha sana asikwambie mtu Demiss.
Huyo ana usajili wa muda kumbe!!! .Hii yote ni kwa sababu tu nampenda namheshimu kwahiyo yeye atakavyojisikia maana tunafurahishana akinipa mimba najua tu atalea mwanaeee
Cha kumkoromea?
Huyo ana usajili wa muda kumbe!!! .
Unaponiita sema mpenzi na sio nduguNdg yangu ebu fanya ukuje huku
fifth harmony- mirror (cover ya JT)Niandikie jina la wimbo niutafute mwenyewe..
Thank you..fifth harmony- mirror (cover ya JT)
Unatamani au ameshakuwa? Bahati huwa haiji mara mbili.Nataman awe Mme wangu.
Mimi kama dakika 20 zilizopita napita mtaani kwetu dada mmoja kaniita kwenye grocery moja akaninong'oneza una elfu kumi hapo tukatomb...ne, mkuu dunia hii ya Leo ni mwendo kasi.
Dah...[emoji2960]Mm ndiyo wanaume tunaowatoza fedha hatuna shida nao ni kwa ajili ya kujifurahisha na kuwatapeli
Dah...yaani...wewe acha tu. ...Kuna watu na bahati zao...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mtu akimtaja crush wake, humu JF tutapigana,maana tutakutana sehemu moja watu kama wote..
Haya my nakusubiri tsap