Wakuu kuna utaalamu wowote wa kutambua yai kabla ya kuanguliwa la jogoo na mtetea?

Wakuu kuna utaalamu wowote wa kutambua yai kabla ya kuanguliwa la jogoo na mtetea?

sungusungu

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
3,057
Reaction score
719
Wana bodi wote,Wasalaam! Jamani kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kutambua yai la kuku jogoo na mtetea hata kabla ya kuanguliwa anisaidie! Ninafuga kuku lakini nahitaji kuwekeza zaidi kwenye mitetea!
 
Ila kuna njia ya kutambua kifarangaa jokoo na tetea wakiwa na umri wa siku moja.
 
Ipo dhana kuwa yai lililo chongoka sana nila jogoo na ambalo halijachongoka nila mtetea ila sidhani kama kuna udhibitisho wa hii dhana.
Mimi nina kuthibitishia nilikuwa nafuga kuku wa kienyeji.nilijifunza kupitia vitabu vya ufugaji wa kuku.ni kweli yai lilochongoka ni jogoo na ambalo halijachongoka ni mtetea.nilijaribu kuwa mayai 10 jogoo 2 na mtetea 8 vifaranga vilianguliwa 7 nilipata jogoo 2 na mitetea 5 mayai 3 hayakutotolewa.
 
Mimi nina kuthibitishia nilikuwa nafuga kuku wa kienyeji.nilijifunza kupitia vitabu vya ufugaji wa kuku.ni kweli yai lilochongoka ni jogoo na ambalo halijachongoka ni mtetea.nilijaribu kuwa mayai 10 jogoo 2 na mtetea 8 vifaranga vilianguliwa 7 nilipata jogoo 2 na mitetea 5 mayai 3 hayakutotolewa.
Ahsante sana
 
Wana bodi wote,Wasalaam! Jamani kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kutambua yai la kuku jogoo na mtetea hata kabla ya kuanguliwa anisaidie! Ninafuga kuku lakini nahitaji kuwekeza zaidi kwenye mitetea!
Kuna dhana ya yai kubwa jogoo,dogo tetea lakn inanichanganya kwakua kuku wengine wanataga mayai makubwa tu
 
Mimi nina kuthibitishia nilikuwa nafuga kuku wa kienyeji.nilijifunza kupitia vitabu vya ufugaji wa kuku.ni kweli yai lilochongoka ni jogoo na ambalo halijachongoka ni mtetea.nilijaribu kuwa mayai 10 jogoo 2 na mtetea 8 vifaranga vilianguliwa 7 nilipata jogoo 2 na mitetea 5 mayai 3 hayakutotolewa.
Asante kwa ushuhuda wako kupitia experience yako naona ni hivyo
 
yai la jogoo linawika na la tetea linataga
 
Hujaelewa kwel mtoa mada kasema yai linakaribia kuanguliwa means linalaliwa na tetea, jogoo hatagi, alitaka kujua yai linaloangua kifaranga cha kijogoo na cha kitetea.
Siunajua vyuma vimekaza hoja kama hizi tunasoma faster faster tu ili kuminimaizi bando? Sasa nshakuelewa maana nimekaa sehemu kuna free WI FI najiachia tu.
 
Back
Top Bottom