matunduizi JF-Expert Member Joined Aug 20, 2018 Posts 7,968 Reaction score 19,368 Sep 18, 2022 #1 Nimekuwa Nikiona shati a drafts tu. Najiuliza Kwa Nini sikioni hakuna t-shirt cotton nzuri lakini na zenyewe ziwe draft lakini nzuri za kisasa. Kun mwenye ufahamu kuhusu vazi hili na Kwa Nini sio common
Nimekuwa Nikiona shati a drafts tu. Najiuliza Kwa Nini sikioni hakuna t-shirt cotton nzuri lakini na zenyewe ziwe draft lakini nzuri za kisasa. Kun mwenye ufahamu kuhusu vazi hili na Kwa Nini sio common
Mnongane JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 260 Reaction score 364 Sep 18, 2022 #2 Hata mimi nashngaa kwanini hakuna chupi ya jeans?
mugah di matheo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 6,307 Reaction score 12,410 Sep 18, 2022 #3 Vumbua hata wewe sio lazima yatoke china
Swahili AI JF-Expert Member Joined Mar 2, 2016 Posts 10,174 Reaction score 89,364 Sep 18, 2022 #4 Mkuu si ndo fursa hii
Alexprosper JF-Expert Member Joined Jul 1, 2022 Posts 3,286 Reaction score 6,110 Sep 18, 2022 #5 Ni kitendo cha kuamua tu anza sasa tayari wazo unalo Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Ni kitendo cha kuamua tu anza sasa tayari wazo unalo Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app