Wakuu leo tukumbushane hasara ulizowahi kupewa na mfanyakazi mtoto, watoto wako nyumbani!

Wakuu leo tukumbushane hasara ulizowahi kupewa na mfanyakazi mtoto, watoto wako nyumbani!

Head current

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
479
Reaction score
128
Heshima kwenu wakuu!

Twende moja kwa moja kwenye mada husika,

1. Niliwahi kujichangachanga na kununua simu Samsung galax s9+ mwanangu akalilia kucheza game, nikamwekea game ya magari nikampa halafu nikatoka nje kama nusu saa kurudi nakuta anaichovya kwenye beseni la maji huku anaipaka subuni ya Unga sijakaa sawa naangalia pembeni namwona rafiki yake mtoto wa jirani, anaruka, ruka, kwenye laptop Mac book pro juu yake huku anaimba wakuu niliganda km sekunde 20 hv nikiwaangalia,

Hebu nawe lete hasara ulizowahi kupata kupitia mwanao, wanao au mfanyakazi wa ndani!

Nawasilisha!
 
heshima kwenu wakuu! Twende moja kwa moja kwenye mada husika, 1:Niliwahi kujichangachanga na kununua simu samsang galax s9+ mwanangu akalilia kucheza game,nikamwekea game ya magari nikampa alafu nikatoka nnje km nusu saa kurudi nakuta anaichovya kwenye beseni la maji huku anaipaka subuni ya Unga sijakaa sawa naangalia pembeni namwona rafiki yake mtoto wa jirani, anaruka, ruka, kwenye laptop Mac book pro juu yake huku anaimba wakuu niliganda km sekunde 20 hv nikiwaangalia, embu nawe lete hasara ulizowahi kupata kupitia mwanao,wanao au mfanyakazi wa ndani! Nawasilisha!
Alitoa nje kijiko kikiwa na harufu ya nyama kunguru kaja kabeba
 
heshima kwenu wakuu! Twende moja kwa moja kwenye mada husika, 1:Niliwahi kujichangachanga na kununua simu samsang galax s9+ mwanangu akalilia kucheza game,nikamwekea game ya magari nikampa alafu nikatoka nnje km nusu saa kurudi nakuta anaichovya kwenye beseni la maji huku anaipaka subuni ya Unga sijakaa sawa naangalia pembeni namwona rafiki yake mtoto wa jirani, anaruka, ruka, kwenye laptop Mac book pro juu yake huku anaimba wakuu niliganda km sekunde 20 hv nikiwaangalia, embu nawe lete hasara ulizowahi kupata kupitia mwanao,wanao au mfanyakazi wa ndani! Nawasilisha!
TV yangu,wanangu walikuwa wanagombania kuweka flash!Likashuka zima chini na bonge la mpasuko!
 
Daahhh watu mnaongelea ma hasara makubwa makubwa hadi mimi naona aibu kushare ki hasara nilichopewa jana tu baada ya dada kuweka dumu la mafuta niliyonunua hiyo huyo jana juu ya mkaa uliokuwa umedondoka chini na kisha mafuta yote kuishia chini.

Mpaka sasa sipo sawa nawaza nipate mtaalamu wa akili. Ningepata hizo hasara kubwa kubwa mngekuwa mnakuja kunisalimia mirembe.
 
Samsung Curve mpya 55' naitoa kwenye box tu dogo akarusha chupa ya roll on kwenye screen.

IMG_20200927_122902.jpg
 
Mwanangu alitaka kumtoa katuni kwenye tv mwishowe aliiangusha na kuvunja screen, tv ikawa screpa.

remote ndio balaa maduka ya Azam na star times tushakuwa marafiki sa hivi.
 
Daahhh watu mnaongelea ma hasara makubwa makubwa hadi mimi naona aibu kushare ki hasara nilichopewa jana tu baada ya dada kuweka dumu la mafuta niliyonunua hiyo huyo jana juu ya mkaa uliokuwa umedondoka chini na kisha mafuta yote kuishia chini.

Mpaka sasa sipo sawa nawaza nipate mtaalamu wa akili. Ningepata hizo hasara kubwa kubwa mngekuwa mnakuja kunisalimia mirembe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Mwanangu alitaka kumtoa katuni kwenye tv mwishowe aliiangusha na kuvunja screen, tv ikawa screpa.

remote ndio balaa maduka ya Azam na star times tushakuwa marafiki sa hivi.
Pole mama junior..
 
Nilipokuwa mdogo alikuja mgeni nikaambiwa nimpatie kinywaji cha juisi, mimi nikaweka juice nikamix na Konyagi. Halafu yule mzee alikuwa si mlevi siku hio ilikuwa ndio mwisho kuambiwa nimpatie mgeni kinywaji🤣🤣
 
Kuna jamaa alinipa samsung s23 nimrekebishie nilivyomaliza nikampa dogo akamrudishie ni dogo ako na 4years kaenda dukani kwake kamkosa akaweka simu juu maji akasepa..after nusu saa jamaa anarud anauliza kamasimu tayari nimerekebisha nikamuuliza hajakukuta dukani kwako?? kilichofuata mwamba alnilipisha nusu hasara polisi,mwanangu huyo kwenye avatar😄😄😄
 
Heshima kwenu wakuu!

Twende moja kwa moja kwenye mada husika,

1. Niliwahi kujichangachanga na kununua simu Samsung galax s9+ mwanangu akalilia kucheza game, nikamwekea game ya magari nikampa halafu nikatoka nje kama nusu saa kurudi nakuta anaichovya kwenye beseni la maji huku anaipaka subuni ya Unga sijakaa sawa naangalia pembeni namwona rafiki yake mtoto wa jirani, anaruka, ruka, kwenye laptop Mac book pro juu yake huku anaimba wakuu niliganda km sekunde 20 hv nikiwaangalia,

Hebu nawe lete hasara ulizowahi kupata kupitia mwanao, wanao au mfanyakazi wa ndani!

Nawasilisha!
Pita hapa
 
Back
Top Bottom