Wakuu, Maelfu Kwa maelfu ya watu eneo la Gairo wamsubiria LISSU kuanzia Asubuh mpaka Jioni alipopita, CCM imeanza kuvikamata vyombo vya habari

Wakuu, Maelfu Kwa maelfu ya watu eneo la Gairo wamsubiria LISSU kuanzia Asubuh mpaka Jioni alipopita, CCM imeanza kuvikamata vyombo vya habari

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Hivi nyie vyombo vya habari, nyie sindo CCM ilikua inawafungia ? Na kuwawekea mitozo mingi na migharama mingi kwenye kuanziasha hizo Online TVs ? Mmeshajisahau.

Kesho ni Mkutano Mkubwa wa LISSU , ila nauhakika Online TVs na Main Media zitajifanya kuupotezea Kwa sababu ya mlungura, biti na Hofu kutoka Kwa chama .


Hata hivo , wakuu nimpende kuwaambia, GAIRO imeamka, Maelfu ya watu walokubali kushindaa njaa tangu Asubuh mpaka jion, bila msaniii, wamelala kumsubiria LISSU , Narudia ni maelefu Maelfu ya watu , ni Maelfu ya Wana Gairo .

Hajawahi kutokea!! Huyo ndio LISSU .

View: https://youtube.com/shorts/0J1L8W4z4Qg?si=MQKxUhe0kBOvL2Rk
 
Nimeona Msavu, Dumila na Gairo, kwa kweli hii inatia moyo kuwa Watanzania wanakubali upinzani kwa moyo, wanakusanyika bila kubebwa, bila kununuliwa wala kwenda kuona wasanii.

2 Kor. 6: 2
Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.
 
Inatia moyo sana kuona sasa watu wako tayari kwa mabadiliko
Daahhh embu fikiria, hao ni wale waloambiwa LISSU atapita, wameamua kukusanyika hivo, Wala hapakua na kutaniko maalumu.



Imenirejesha maandiko matakatifu , Watu waliposikia YESU wa Nazareth anapita, walifurika angalau kumuona tu Kwa mbali Kwa Imani ya kwamba, yeye ndio Bwana na Mwokozi wao ,hivo kumuona tu Kwa Imani utapona.
 
Back
Top Bottom