Wakuu, mnifundishe kubet!

Acha kabisa hiyo kitu, pesa yako itapotea bure.
 
Najuta kujua kubet .siwezi kuacha kabisa hii mambo..sikushauri uingie huku hakufai kabisa.
 
Naogopa kukugundisha maana utaliwa mpaka unye
 
Bwa mdogo usipapie vitu eti kwa kuwa wengine wanafanya. betting ni kamari, na kamari haifai ingawa ipo kisheria. tofauti ya mcheza kamari na mvuta unga ni ndogo sana. katafute kazi ufanye. Ikibidi tafuta shamba ukalime kuliko kufikiria biashara ya kamari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…