Wakuu msaada sehemu ya kuwapeleka wageni wangu Moshi

Wakuu msaada sehemu ya kuwapeleka wageni wangu Moshi

al-baajun

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2015
Posts
283
Reaction score
209
Habari wadau,

Nina wageni wangu (wanawake wanne from Europe) wapo Kwa project Yao Sasa inabidi niende nao Moshi na wao wananitegemea Mimi kuwatembeza kibudget( ni wanafunzi wa chuo).

Naomba ushauri kuhusu nightlife ya Moshi,sehemu gani wazungu wangefurahia kutembea usiku,pia na vivutio vya utalii vya Bei rahisi ambavo Vipo Moshi na vitongoji vyake Ili tuende kutembelea.
 
Mkuu, tumia Google Map.

Search Moshi. Hafu pull up iyo Sehemu.

1000123211.png


Hafu bonyeza hapo More.

1000123210.png


Hafu Bonyeza Attractions:

1000123209.png


Utapata nyingi sana.

Waterfalls, Hot Springs na Walking kwenye Msitu.

Unaweza maliza day trip ukiwa fast.
 
Hakuna kitu Moshi, labda sehemu ya kulala mteremko..
Kwa vibe, wapeleke R town, halafu usiku mnalala Moshi
 
Mkuu nakutafuta PM tuongee moshi kuna sehemu nzuri sana you will real enjoy wewe na wageni wako, tafadhali fungua PM yako sincerely wageni wako lazima waenjoy.....
 
Habari wadau,

Nina wageni wangu (wanawake wanne from Europe) wapo Kwa project Yao Sasa inabidi niende nao Moshi na wao wananitegemea Mimi kuwatembeza kibudget( ni wanafunzi wa chuo).

Naomba ushauri kuhusu nightlife ya Moshi,sehemu gani wazungu wangefurahia kutembea usiku,pia na vivutio vya utalii vya Bei rahisi ambavo Vipo Moshi na vitongoji vyake Ili tuende kutembelea.
OK, kwanza nikupe ushauri kama mtu ninayewajuwa wazungu vizuri wa type zote kwenye utalii.

Kwanza wanafunzi wote hawana pesa kwahiyo nitakupa location za kuwafaa lakini wataenjoy.

Ukiwa Moshi town chukuwa Bajaj hata mbili waambie wawapeleke sehemu inaitwa KILIMAKYARO IPO juu kule kupita kcmc, hapo kuna natural forest, lodge, garden, swimming pool, restaurant na bar kwa bei affordable.

Chukuweni room hapo mkipenda au chukuweni bungalow, usiku shukeni sasa Moshi town nendeni club Alberto mkale disco la nguvu na kuexperince Moshi town at night inakuwaje na usiwabanie hao wageni kama ni mademu wakimzimia mtu ni mambo ya contact wawasiliane next day.
 
Marangu waterfalls watafurahi sana.

Kwingine subiri wadau
"Wasisahau kuyaoga hayo maji huwa yana miujiza yake 100% powerful and same to maji ya upako maalum. " wapande mlima kilimanjaro pia sio vibaya!
 
"Wasisahau kuyaoga hayo maji huwa yana miujiza yake 100% powerful and same to maji ya upako maalum. " wapande mlima kilimanjaro pia sio vibaya!
Kupanda Mlima ni arrangements mtu anapanga hata kwa mwaka mmoja kabla, siyo kwa sababu kaja Tanzania mpaka Moshi basi upande mlima, wazungu wanaishi kwa program na budget.
 
Back
Top Bottom