GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,241
- 3,800
Namtafuta Dr. Danny Njau yule alayegundua dawa ya figo na homa ya INI.
Huyu Doctor alikuwa anahojiwa na ITV week iliyopita katika kipindi cha asubuhi KUMEKUMEKUCHA ITV.
Pia taarifa zake ziliandikwa katika gazeti la MTANZANIA La Jana.
Tafadhali yeyote mwenye mawasiliano nae au mawasiliano na huduma zake anipe ni muhimu sana
Huyu Doctor alikuwa anahojiwa na ITV week iliyopita katika kipindi cha asubuhi KUMEKUMEKUCHA ITV.
Pia taarifa zake ziliandikwa katika gazeti la MTANZANIA La Jana.
Tafadhali yeyote mwenye mawasiliano nae au mawasiliano na huduma zake anipe ni muhimu sana