patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 574
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo nyumba itakua
1.tofali 3000@tsh 700/=
2.mchanga roli 3@tsh 250,000/=
3.kokoto roli 2@tsh 250,000/=
4.cement mifuko 200@tsh 15,000/=
5.bati 80@tsh 16,000/=
6.mbao,misumari,gypsumboard,tiles,rangi,vioo,jumla tsh 11milions
7.ufundi tsh 6milions
8.finish materials tsh 7milions.
Cha muhimu sana hapo pesa ya kuanzia.TZS Mil40 lazima uwe nayo mkononi,gharama nyingine zinakuja taratibu as you go
Huu ni ushauri wa kukatisha tamaa mtu asijenge. Labour charge 6mill?.
Cha muhimu sana hapo pesa ya kuanzia.TZS Mil40 lazima uwe nayo mkononi,gharama nyingine zinakuja taratibu as you go
Nahitaji kujenga nyumba kwa sasa,idadi ya vyumba ni vinne, jiko, store, public toilet,vyote ndani kwa ndani" msaada unahitajika hapa
1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba kukamilika.
2:kwa wale wataalam wa kupaua(kupiga bati) ni kiasi gani cha bati kitahitajika hapo, just by makadirio tu.bila kusahau idadi ya mbao.
Ni hayo tu wakuu eneo la ujenzi lipo Tanga mjini.
Huu ni ushauri wa kukatisha tamaa mtu asijenge. Labour charge 6mill?.
Huu ni ushauri wa kukatisha tamaa mtu asijenge. Labour charge 6mill?.
eneo ni tambalale kabisa kwa idadi hio nadhania cement itakua 40bags!! Thanks mtu wangu!!
Huu ni ushauri wa kukatisha tamaa mtu asijenge. Labour charge 6mill?.