Wakuu Nafikiria Kupima Daaah

Wakuu Nafikiria Kupima Daaah

King Loto

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
1,581
Reaction score
1,357
Wakuu!

Tumbo liko moto wakuu nafikiria kupima HIV tena kwa mara nyingine tena daaah yaani haya mambo siyo poa kabisa.

Daaah hii ni baada ya sababu fulani fulani toka kwa shemeji yenu. Damu unaiona ina pita shaaaa mara mistari 😅 aseee sijui nani alileta huu ugonjwa. Tangu jana najisahula kama sijielewi elewi hivi, usiombe yakukute mkuu.

Tatizo magonjwa haya siyo poa mara
UKIMWI
STDs
UTI
Sukari DM
Blood Pressure
Ngiri maji
Tezi dume
Covid 19
Cancer
Hepatits B n.k
Disorders kibao sijui kidole tumbo

Nipeni matumaini wakuu.
 
Wakuu!
Tumbo liko moto wakuu nafikiria kupima HIV tena kwa mara nyingine tena daaah yaani haya mambo siyo poa kabisa.

Daaah hii ni baada ya sababu fulani fulani toka kwa shemeji yenu.
Damu unaiona ina pita shaaaa mara mistari [emoji28] aseee sijui nani alileta huu ugonjwa.
Tangu jana najisahula kama sijielewi elewi hivi, usiombe yakukute mkuu.

Disorders kibao sijui kidole tumbo

Nipeni matumaini wakuu.
Kipindi anaenda kufakamia uliomba ushauri??
Hicho ndio mavuno yako apanda mtu ndio avunacho
 
Sasa wakuu sio mara ya kwanza kwa mimi kupima lakini hofu ilikuwepo nina miezi 4 hivi nilikuwa busy na kazi so sijakutana na shem wenu wala malaya yeyote tangu miezi hiyo

ila mwaka jana mwezi wa 12 nilitmba kavu kademu kamoja kauswahilini fulani yaaani hiyo siku sijui nilikula maharage ya wapi nikakafakamia na kilikuwa kumbe hakijamaliza period yake vizuri sasa wakati naingiza damu mmmh hakakuniambia na mimi ilinikera mnoo ile hali nilitaka kulia afu sinaga mazoea na kavu. Nikaka mwezi nikapima HIV virus amna kitu.

nataka tukapime na shem wenu lakini kabla ya hapo nimesha amua kujipima tayari kabla ya kwenda naye tena na vipimo vimeonesha hivi

IMG_20210701_121207_349.jpg
 
Nishapima sasa hivi wakuu majibu yako hapo juu.
 
Wakuu!

Tumbo liko moto wakuu nafikiria kupima HIV tena kwa mara nyingine tena daaah yaani haya mambo siyo poa kabisa.

Daaah hii ni baada ya sababu fulani fulani toka kwa shemeji yenu. Damu unaiona ina pita shaaaa mara mistari [emoji28] aseee sijui nani alileta huu ugonjwa. Tangu jana najisahula kama sijielewi elewi hivi, usiombe yakukute mkuu.

Tatizo magonjwa haya siyo poa mara
UKIMWI
STDs
UTI
Sukari DM
Blood Pressure
Ngiri maji
Tezi dume
Covid 19
Cancer
Hepatits B n.k
Disorders kibao sijui kidole tumbo

Nipeni matumaini wakuu.
Unachokitafuta ipo siku utakipata[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa wakuu sio mara ya kwanza kwa mimi kupima lakini hofu ilikuwepo nina miezi 4 hivi nilikuwa busy na kazi so sijakutana na shem wenu wala malaya yeyote tangu miezi hiyo

ila mwaka jana mwezi wa 12 nilitmba kavu kademu kamoja kauswahilini fulani yaaani hiyo siku sijui nilikula maharage ya wapi nikakafakamia na kilikuwa kumbe hakijamaliza period yake vizuri sasa wakati naingiza damu mmmh hakakuniambia na mimi ilinikera mnoo ile hali nilitaka kulia afu sinaga mazoea na kavu. Nikaka mwezi nikapima HIV virus amna kitu.

nataka tukapime na shem wenu lakini kabla ya hapo nimesha amua kujipima tayari kabla ya kwenda naye tena na vipimo vimeonesha hivi

View attachment 1836548
Saa hii yule rafk yako amekuwa wewe sasa.
 
Hii thd umeianzisha baada ya kupima na kupata majibu,hilo lipo wazi kabisa.
Sasa wakuu sio mara ya kwanza kwa mimi kupima lakini hofu ilikuwepo nina miezi 4 hivi nilikuwa busy na kazi so sijakutana na shem wenu wala malaya yeyote tangu miezi hiyo

ila mwaka jana mwezi wa 12 nilitmba kavu kademu kamoja kauswahilini fulani yaaani hiyo siku sijui nilikula maharage ya wapi nikakafakamia na kilikuwa kumbe hakijamaliza period yake vizuri sasa wakati naingiza damu mmmh hakakuniambia na mimi ilinikera mnoo ile hali nilitaka kulia afu sinaga mazoea na kavu. Nikaka mwezi nikapima HIV virus amna kitu.

nataka tukapime na shem wenu lakini kabla ya hapo nimesha amua kujipima tayari kabla ya kwenda naye tena na vipimo vimeonesha hivi

View attachment 1836548
 
Kikubwa ni kuepuka zinaa kwa sababu saivi kuna hepatitis inatembea sana haswa jijini hapa tuwe makini ama basi mkajichanje chanjo MNH inatolewa
 
Back
Top Bottom