Wakuu Nafikiria Kupima Daaah

Wakuu Nafikiria Kupima Daaah

Kwa hiyo yeye au wew mtaendelea chepuka kama kawa
Sijui yeye lakini mimi nachepuka sana kwa maneno kuliko vitendo...siku nikitenda kweli nahisi itakuwa fungulia mbwa.So ngoja nikitulize nilee watoto mkuu
 
Sijui yeye lakini mimi nachepuka sana kwa maneno kuliko vitendo...siku nikitenda kweli nahisi itakuwa fungulia mbwa.So ngoja nikitulize nilee watoto mkuu
😁 Hapo ni wewe uwe super woman.
 
Back
Top Bottom