Wakuu Nahitaji Aina Hii Ya Piki Piki Je Kwa Tanzania Naweza Kuzipata Wapi... ?! Hasa Nikiwa Dar Es Salaam

Wakuu Nahitaji Aina Hii Ya Piki Piki Je Kwa Tanzania Naweza Kuzipata Wapi... ?! Hasa Nikiwa Dar Es Salaam

Ndiyo mkuu,nadhani ni economical kwenye mafuta as long as unaweza kukiendesha kama baiskel

Sent from my TV

Ndio Mkuu, hicho kiwanda cha Batavus cha kidutch likiuwa kwanza na kazi ya kuunga Baiskel kutoka German kisha wao wenyewe wakaanza kitengeneza Baiskel na kisha wakaanza kuziwekea mota, ji nzuri sana siku hizi hazipo sana haoa Tanzania
 
Back
Top Bottom