zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Ndugu yangu usipokaa sawa utaangukia mikononi mwa matapeli na utalia na moyo wako. Huko uliko nunua plot au shamba kwa kufuata njia halali then tunza risit. Ni sawa na kuweka fixed deposit.
Wazo lako ni jema sana. Tena ni zaidi ya fixed deposit.