wakuu! nakaribia kuchizi! nisaidieni

Ndugu yangu usipokaa sawa utaangukia mikononi mwa matapeli na utalia na moyo wako. Huko uliko nunua plot au shamba kwa kufuata njia halali then tunza risit. Ni sawa na kuweka fixed deposit.

Wazo lako ni jema sana. Tena ni zaidi ya fixed deposit.
 
Hapo mkuu unakua selfish,kwan wewe umetokaje na hzo mishe za town!uliamka ukazijua? C nepata kwa watu?acha hzo mambo

Sina character ya ubinafsi hata kidogo, nikiona ni salama huwa nagawa bure info yoyote yenye kuingiza kipato, mfano halisi ingia jukwaa la uchumi na biashara, tafuta thread imeandikwa PESA BILA JASHO. I wouldnt advice you kwenye hiyo issue though.
 

Mishikaki haihitaji mpunga mwingi sana unampa tu kijana anasimama nayo pale stendi saa za jioni wewe unakaa kibarazani unachezea computer yako; kuanzia saa kumi jioni hadi tatu usiku unafunga hesabu uangojea mambo ya siku ijayo
 
!
!
pikipiki zimekuwa nyingi,mpesa tigo pesa pia zimekuwa nyingi

usiogope,kama unawaza kuwa na pikipiki au tigo pesa ni wazo jema sana. muhimu ni uwezo wa kutafuta wateja na kuweza kuwa nao kwa muda mrefu. angalia ni kipi utakuja nacho katika hizo ideaz zako mbili kitakuwa tofauti na kuwafanya watu waje kwako na si kwa watoa huduma wengine!?
kuona pikipiki na hizo mobile phone baking centre nyingi ni ishara tusha kwamba kuna biashara ya kufanya huko.
 
Nunua Shamba upande miti mkuu,litakua kama Security and in longrun hiyo miti yenyewe ni Security kubwa ya kuomba mkopo benki.
 
Nunua Shamba upande miti mkuu,litakua kama Security and in the longrun hiyo miti yenyewe ni Security kubwa ya kuomba mkopo benki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…