Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika muajiri alikuwa anaweka michango yako?Wakuu habarini!.
Naomba kupata ufafanuzi ikiwa status ya madai yangu ya mafao status inasoma PENDING lakni nikiangalia statement salio inasoma 0.00, na Contributions inasoma NO Contributions.
Siku zote michango yango inasoma ipo sahihi alikuwa naweka na kila kitu kipo sawa na michango saaa kabisa. Ila nilipofungua madai kwenye status ilipokuwa lodged bado salio lilikuwa linasoma na michango ipoo, lakini baada ya claim status kuwa Pending ndio salio likawa linasoma ZERO na No Contributions.Una uhakika muajiri alikuwa anaweka michango yako?
Siku zote michango yango inasoma ipo sahihi alikuwa naweka na kila kitu kipo sawa na michango saaa kabisa. Ila nilipofungua madai kwenye status ilipokuwa lodged bado salio lilikuwa linasoma na michango ipoo, lakini baada ya claim status kuwa Pending ndio salio likawa linasoma ZERO na No ContributionsMwajiri alikuwa hapaleki.
Hata makato yako mwajiri wako alikula.
pesa yako imeamishwa kutoka mfuko wa lazima kwenda mfuko wa hiali njoo inbobo nikupe shule na connection.Wakuu habarini!.
Naomba kupata ufafanuzi ikiwa status ya madai yangu ya mafao status inasoma PENDING lakni nikiangalia statement salio inasoma 0.00, na Contributions inasoma NO Contributions.
Mtetee hivyo hivyoSiku zote michango yango inasoma ipo sahihi alikuwa naweka na kila kitu kipo sawa na michango saaa kabisa. Ila nilipofungua madai kwenye status ilipokuwa lodged bado salio lilikuwa linasoma na michango ipoo, lakini baada ya claim status kuwa Pending ndio salio likawa linasoma ZERO na No Contributions
Si vyema kama hujui kitu kwamba lazima ujibu nakwambia kuwa michango yote ilikuwa inasoma sahihi na statement ilikuwa sahihi na ndio maana Nssf waliweza kunifungulia madai , ila hivi jana ndio niliingia kwenye nssf portal kwenye account yangu nduo nikakuta Salio zero na Claim status imeandikwa PENDINGMtetee hivyo hivyo
Hapo maana yake mchakato wa kulipa umeanza. Very soon utapokea cheki Yako. Ni lazima zitoke kwenye akaunti yako ya michango ziingizwe katika cash out.Si vyema kama hujui kitu kwamba lazima ujibu nakwambia kuwa michango yote ilikuwa inasoma sahihi na statement ilikuwa sahihi na ndio maana Nssf waliweza kunifungulia madai , ila hivi jana ndio niliingia kwenye nssf portal kwenye account yangu nduo nikakuta Salio zero na Claim status imeandikwa PENDING
kesho unapata pesa yakoWakuu habarini!.
Naomba kupata ufafanuzi ikiwa status ya madai yangu ya mafao status inasoma PENDING lakni nikiangalia statement salio inasoma 0.00, na Contributions inasoma NO Contributions.
Hawatoi check wanamwingizia moja kwa mojaHapo maana yake mchakato wa kulipa umeanza. Very soon utapokea cheki Yako. Ni lazima zitoke kwenye akaunti yako ya michango ziingizwe katika cash out.
Vuta subra Kidogo pesa Yako inatoka
Mwenetu mbona kimya tena uzi umeukimbia, vipi tayari mzigo ulishaingia kwenye account maana nami nina same case naomba mrejesho tafadhaliWakuu habarini!.
Naomba kupata ufafanuzi ikiwa status ya madai yangu ya mafao status inasoma PENDING lakni nikiangalia statement salio inasoma 0.00, na Contributions inasoma NO Contributions.
wakichukuaga hawarudishi mrejesho Mkuu[emoji28]Mwenetu mbona kimya tena uzi umeukimbia, vipi tayari mzigo ulishaingia kwenye account maana nami nina same case naomba mrejesho tafadhali
😅😅😅wakichukuaga hawarudishi mrejesho Mkuu[emoji28]