DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Habari wakuu,
Ningependa kuelimishwa haya machache kuhusiana na hii imani/dini ya Rastafarian (nikipata kujuzwa na ya ziada ntashukuru sana).
1. Naskia rastafarian hawanywi pombe hivi Ni kweli? Kama ni kweli je, ni kwanini?
2. Nasikia hawali kitimoto je, kweli? Kwanini?
3. Nasikia ni marufuku kuhudhuria au kulia msibani je, ni kweli? Kama ni kweli kwanini? Wao rastafarian wakifariki nini kinafanyika? Hawazikwi au inakuaje?
4. Naskia kuvuta bangi kwao ni sehemu ya ibada je ni kweli? Kama ni kweli kwanini? Hivi ni lazima ukiwa rastafarian uvute bangi?
5. Hawa rastafarian mtume wao ni nani Kama ilivo kwa Islamic (Mohammad) Chirstian (Yesu).
6. Hawa rastafarian wanacho kitabu kitakatifu Kama ilivo kwa christians (Biblia) na Islamic (Quran)
7. Nasikia kwa rastafarian ni marufuku kula nyama nyekundu wala mayai ni kweli? Kama ni kweli kwanini?
8. Hawa rastafarian wanazungumziaje habar za kufa, kifo na habari kufuliwa upya uko mbinguni?
9. Hawa rastafarian wanazungumziaje kuhusu wale wanaotenda yale mema & mabaya hapa Duniani, malipo yao itakuaje uko mbinguni. Yaani kwao imani yao mema ni yapi na mabaya ni yapi? Vipi wanazifuata zile amrj 10 za mussa au nao wanazo za kwao?
10. Kosa la uzinzi kwa imani ya rastafarian lina tasfiri gani na adhabu zake ni zipi huku Duniani kwa imani yao.
NB: Waislam ukizini ni kupigwa mawe ufe, wakristo ni utalipwa mbinguni.
Nawasilisha[emoji4][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kuelimishwa haya machache kuhusiana na hii imani/dini ya Rastafarian (nikipata kujuzwa na ya ziada ntashukuru sana).
1. Naskia rastafarian hawanywi pombe hivi Ni kweli? Kama ni kweli je, ni kwanini?
2. Nasikia hawali kitimoto je, kweli? Kwanini?
3. Nasikia ni marufuku kuhudhuria au kulia msibani je, ni kweli? Kama ni kweli kwanini? Wao rastafarian wakifariki nini kinafanyika? Hawazikwi au inakuaje?
4. Naskia kuvuta bangi kwao ni sehemu ya ibada je ni kweli? Kama ni kweli kwanini? Hivi ni lazima ukiwa rastafarian uvute bangi?
5. Hawa rastafarian mtume wao ni nani Kama ilivo kwa Islamic (Mohammad) Chirstian (Yesu).
6. Hawa rastafarian wanacho kitabu kitakatifu Kama ilivo kwa christians (Biblia) na Islamic (Quran)
7. Nasikia kwa rastafarian ni marufuku kula nyama nyekundu wala mayai ni kweli? Kama ni kweli kwanini?
8. Hawa rastafarian wanazungumziaje habar za kufa, kifo na habari kufuliwa upya uko mbinguni?
9. Hawa rastafarian wanazungumziaje kuhusu wale wanaotenda yale mema & mabaya hapa Duniani, malipo yao itakuaje uko mbinguni. Yaani kwao imani yao mema ni yapi na mabaya ni yapi? Vipi wanazifuata zile amrj 10 za mussa au nao wanazo za kwao?
10. Kosa la uzinzi kwa imani ya rastafarian lina tasfiri gani na adhabu zake ni zipi huku Duniani kwa imani yao.
NB: Waislam ukizini ni kupigwa mawe ufe, wakristo ni utalipwa mbinguni.
Nawasilisha[emoji4][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app