Za asubuh jamani,mimi ni mvulana ambaye nina girlfrnd,tunapendana na kuaminiana na tumeshaduu kama mara 10 hivi.
Ila siku hiz za karibuni nilikua nikiduu naye sehem zangu za siri zinaniuma sana tena sanasana sehem ambayo mkojo unatokea na sasa hivi nipo home naenda chooni kukojoa kabla sijakojoa nimekuta kitu kama usaha katika tundu linalotoa mkojo.kwa kifupi naumwa ila sijui naumwa nini na nitumie dawa gani ili nipone,naomben msaada wenu jamani.
natanguliza shukrani.
Ulete na ya ngoma eeh nayo ukipona sawa Kabaizer!duuh asanteni wakuu,nikipona naleta certificate zangu
Za asubuh jamani,mimi ni mvulana ambaye nina girlfrnd,tunapendana na kuaminiana na tumeshaduu kama mara 10 hivi.
Ila siku hiz za karibuni nilikua nikiduu naye sehem zangu za siri zinaniuma sana tena sanasana sehem ambayo mkojo unatokea na sasa hivi nipo home naenda chooni kukojoa kabla sijakojoa nimekuta kitu kama usaha katika tundu linalotoa mkojo.kwa kifupi naumwa ila sijui naumwa nini na nitumie dawa gani ili nipone,naomben msaada wenu jamani.
natanguliza shukrani.
Na yeye(dem wako) atakumbwa na hilo gonjwa siku si nying zijazo.... nendeni wote.. andaeni kama 100000 flani kwa tiba yenu wote... kuna tiba ya vidonge na sindano ya mshipa wa mkono... mtapona haraka zaidi.... niliuguz mdogo wangu alpopatwa dalili kama hizo..ila ye aliwahi kuniambia mapema...umri miaka 22
maumivu yapo takriban wiki mbili
maumivu yanakua kwa muda kuna siku naamka nipo saf kabisa,ila toka juz hali imezid kua mbaya.
dalili za kuwashwa,kukojoa damu,tone au matone ya damu hakuna,ila maumivu wakati wa kukuojoa yapo.
huwa hatutumii kinga kabisa.
girlfrnd wangu halalamiki kitu ila wakati wa kusex huwa anatoka haruf flani hivi ambayo siielewi.
dogo nenda hospitali alafu usimwache mwenzio. Ukimwacha ujue watwanga maji kwenye kinu.duuh asanteni wakuu,nikipona naleta certificate zangu
Za asubuh jamani,mimi ni mvulana ambaye nina girlfrnd,tunapendana na kuaminiana na tumeshaduu kama mara 10 hivi.
Ila siku hiz za karibuni nilikua nikiduu naye sehem zangu za siri zinaniuma sana tena sanasana sehem ambayo mkojo unatokea na sasa hivi nipo home naenda chooni kukojoa kabla sijakojoa nimekuta kitu kama usaha katika tundu linalotoa mkojo.kwa kifupi naumwa ila sijui naumwa nini na nitumie dawa gani ili nipone,naomben msaada wenu jamani.
natanguliza shukrani.