Wakuu naomba msaada na sitorudia tena

ndugu wananchi nashkur nimepona,ila kwa sindano na c vidonge ahsanten sana wote kwa mawazo yenu
 

kacheki kaswende na gonorhea haraka, yanatibika. na uende na huyo malaya mwenzio, la sivyo anaweza maliaza hadi kwa dingi yako. yanatibika hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…