Wakuu, naomba msaada nataka kutengeneza umeme kwa kupitia motor na dynamo

Wakuu, naomba msaada nataka kutengeneza umeme kwa kupitia motor na dynamo

Engneeer

Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
19
Reaction score
18
Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
 
Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru

Ngoja wataalamu waje.

Kila la kheri.
 
Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Mota yako ni ya ukubwa gani au ni ya nini?
 
Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Umeme wa kiasi gani?

Baiskeli tu mbona inazalisha umeme kuwasha taa yake kwa kutumia dyanamo

Hueleweki unachoongea weka hoja vizuri
 
Huo umeme upo lakin ni gharama sana,kwani huzalisha kwa muda mfupi na hizo motor na dynamo zitahitaji marekebisho ya mara kwa mara
 
Next part kwa ajili ya marekebisho kwa ambao hamjanielewa vizuri nilikuw nauliza umeme especially tunaweza kuita perpetual energy
 

Attachments

  • Screenshot_20250215_113546_YouTube.jpg
    Screenshot_20250215_113546_YouTube.jpg
    92.8 KB · Views: 1
Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Mambo yangekuwa rahisi hivi unadhani kuna mtu angelilia umeme wa Tanesco? Bila shaka unaweza kutengeneza lakini huwezi kupata umeme sustainable na wa realible.
 
Next part kwa ajili ya marekebisho kwa ambao hamjanielewa vizuri nilikuw nauliza umeme especially tunaweza kuita perpetual energy
Hizi ni theory bado utafiti unaendelea...

kama una muda na mipesa ya kutosha,unaweza endelea na utafiti...

Kifupi dunia ilivyo umbwa inakataa kitu hicho,kutokana na friction wakati wa mchakato...

Ila unaweza jaribu..All the best.
 
Mota itaendeshwa na upepo utakaopuliza pangaboi zilizofungwa kwenye exel ya mota
sasa kwanini pangaboi usizifunge direvtly kwa dynamo badala ya mota zikazungushwa moja kwa moja na upepo. kwa jibu lako hili sioni maana ya uwepo wa mota
 
sasa kwanini pangaboi usizifunge direvtly kwa dynamo badala ya mota zikazungushwa moja kwa moja na upepo. kwa jibu lako hili sioni maana ya uwepo wa mota
Kwani tofaut ya dainamo na motor ni nini?
 
Back
Top Bottom