Wakuu, naomba msaada nataka kutengeneza umeme kwa kupitia motor na dynamo

Wakuu, naomba msaada nataka kutengeneza umeme kwa kupitia motor na dynamo

Dynamo ikizunguka inazalisha umeme.

Moto ikizunguka inazalisha mechanical energy (kuzungusha kitu)
Vyote vinazalisha umeme na vyote vinaweza kuzungusha kitu.
Mota yoyote ukiizungusha inazalusha umeme
 
Vyote vinazalisha umeme na vyote vinaweza kuzungusha kitu.
Mota yoyote ukiizungusha inazalusha umeme
Wewe kweli ni mjinga.

Motor inahitaji umeme iweze kufanya kazi. Bila umeme motor haifanyi kazi yake (ya kuzungusha kitu).

Dynamo inahitaji mechanical energy (kuzungushwa na taili la basikeli) kuweza kuzalisha umeme.

Zingatia hili:
  • Bila umeme, motor haifanyi kazi.
  • Bila mechanical energy, dynamo haifanyi kazi.

Pia zingatia:
  • Motor haizalishi umeme, inazalisha mechanical energy.
  • Dynamo inazalisha umeme (ikizungushwa)
 
Ungeanza na wa kinyesi cha binadamu sababu upatikanaji wa malighafi ni wa kutosha mkuu.!!
 
Wewe kweli ni mjinga.

Motor inahitaji umeme iweze kufanya kazi. Bila umeme motor haifanyi kazi yake (ya kuzungusha kitu).

Dynamo inahitaji mechanical energy (kuzungushwa na taili la basikeli) kuweza kuzalisha umeme.

Zingatia hili:
  • Bila umeme, motor haifanyi kazi.
  • Bila mechanical energy, dynamo haifanyi kazi.

Pia zingatia:
  • Motor haizalishi umeme, inazalisha mechanical energy.
  • Dynamo inazalisha umeme (ikizungushwa)
Mimi naongelea maisha ya uzoefu, zile nyaya za kwenye dainamo ukiziunganisha kwenye umeme dainamo inazunguka kama mota.
Vivyo hivyo mota nayo japo imetengenezwa kwaajili ya kusungushwa na umeme, ukiizungusha inazalisha umeme ambao unaweza kuujua kwa urahisi kupitia zile nyaya ambazo zimewekwa maalum kwaajili ya kupokea umeme.
Nimefanya majaribio kuvitendo kwenye motor mbalimbali na kwenye dainamo za baiskeli.
Kwenye hili sina elimu ya darasani lakini elimu ya mtaani nimeweza kuzalisha umeme kutoka kwenye mota....
Kafanye utafiti sipo hapa kubishana
 
mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo
Inawezekana mkuu… hata mi kuna mwaka nlishawishika kufanya ivo baada ya kuona video huko YOUTUBE ila nakachemka baada ya kuulizia huku mtaani bei ya ALTARNATOR ya kwenye gari nikaambiwa LAKI 3, ikabidi ntoke nduki.
 
Inawezekana mkuu… hata mi kuna mwaka nlishawishika kufanya ivo baada ya kuona video huko YOUTUBE ila nakachemka baada ya kuulizia huku mtaani bei ya ALTARNATOR ya kwenye gari nikaambiwa LAKI 3, ikabidi ntoke nduki.
Si ungekodi ukatest afu ukarudisha
 
Mimi naongelea maisha ya uzoefu, zile nyaya za kwenye dainamo ukiziunganisha kwenye umeme dainamo inazunguka kama mota.
Vivyo hivyo mota nayo japo imetengenezwa kwaajili ya kusungushwa na umeme, ukiizungusha inazalisha umeme ambao unaweza kuujua kwa urahisi kupitia zile nyaya ambazo zimewekwa maalum kwaajili ya kupokea umeme.
Nimefanya majaribio kuvitendo kwenye motor mbalimbali na kwenye dainamo za baiskeli.
Kwenye hili sina elimu ya darasani lakini elimu ya mtaani nimeweza kuzalisha umeme kutoka kwenye mota....
Kafanye utafiti sipo hapa kubishana
Kaka naomb dm yako tuongee kdg
 
Nimekuwa na vi idea ila uvivu mwingi sana, kila leo nasema kesho keshokutwa, ila navutika na hiki kitu.
 
Wewe kweli ni mjinga.

Motor inahitaji umeme iweze kufanya kazi. Bila umeme motor haifanyi kazi yake (ya kuzungusha kitu).

Dynamo inahitaji mechanical energy (kuzungushwa na taili la basikeli) kuweza kuzalisha umeme.

Zingatia hili:
  • Bila umeme, motor haifanyi kazi.
  • Bila mechanical energy, dynamo haifanyi kazi.

Pia zingatia:
  • Motor haizalishi umeme, inazalisha mechanical energy.
  • Dynamo inazalisha umeme (ikizungushwa)
Jamaa sijui huo umeme atazalishaje kama hajui hata maana ya motor
 
Back
Top Bottom