Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Amiin mkuu tunawasubiriNgoja wataalamu waje.
Kila la kheri.
Mota yako ni ya ukubwa gani au ni ya nini?Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Umeme wa kiasi gani?Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Mota itaendeshwa na upepo utakaopuliza pangaboi zilizofungwa kwenye exel ya motaNini kitaendesha mota?
Mambo yangekuwa rahisi hivi unadhani kuna mtu angelilia umeme wa Tanesco? Bila shaka unaweza kutengeneza lakini huwezi kupata umeme sustainable na wa realible.Wakuu poleni na majukumu najua mnaendelea vizuri naomba kujua mara nyingi tumekuwa tukiona mtandaon umeme unazalishwa kwa motor zikiwa kwenye mzunguko na dynamo mara nyingi nimejaribu kufanya utafiti wangu wengine wamsema ni possible wengine wamekataa nimeshindwa kujua lipi jibu sahihi najua humu kuna wataaalamu wa masuala haya ya electricity naomba ufafanuzi zaid wakuu nitashukuru
Dah ila watu bhn😀Mkuu ingia kwenye kapu ujibebe ukiweza basi na hiyo itawezekana
Hizi ni theory bado utafiti unaendelea...Next part kwa ajili ya marekebisho kwa ambao hamjanielewa vizuri nilikuw nauliza umeme especially tunaweza kuita perpetual energy
Una utaalam wwte au taarifa au ushuhuda wwte kaka kuhusu hili jambo???inawezekana kutokana na kiwango unachohitaji
sasa kwanini pangaboi usizifunge direvtly kwa dynamo badala ya mota zikazungushwa moja kwa moja na upepo. kwa jibu lako hili sioni maana ya uwepo wa motaMota itaendeshwa na upepo utakaopuliza pangaboi zilizofungwa kwenye exel ya mota
Kwani tofaut ya dainamo na motor ni nini?sasa kwanini pangaboi usizifunge direvtly kwa dynamo badala ya mota zikazungushwa moja kwa moja na upepo. kwa jibu lako hili sioni maana ya uwepo wa mota
Hakuna tofauti tofauti ni application tuKwani tofaut ya dainamo na motor ni nini?