Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa salamu kwako,
Kwanza hongera kwa kuitwa kwenye interview na hakikisha unakuwa na Confidence ya kutosha na kujiamini kwamba hiyo kazi ni yako.
Me sio A/cuntant ila ni HR hivyo naweza kukupa ushauri ya kwamba majukumu au duties ni swali moja ambalo unaweza kuulizwa ila kuna maswali mengi ya General qns , ila pia inategemea na sehemu uliyoitwa kila organization ina falsafa zake na taratibu zake tofauti na orgztn nyingine .
Maswali ya general ni pamoja na Historia yako, kwanini umeomba kazi hii,unajionaje katika miaka 3 ijayo,na mengine , nimesaidia kidogo nadhani mwengine ataongeza ,
bless mkubwa