Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Duuuh leo umeosha nyota yako mbona wamecomment na kulike wengi saaana!!!; kumbe inawezekana naona umesitisha uamuzi wako wa kutoka JF
 
Usiondoke.kwanza mm humu ni mgeni wenyeji mkiondoka na wageni itakuwaje!
 
Duuuh leo umeosha nyota yako mbona wamecomment na kulike wengi saaana!!!; kumbe inawezekana naona umesitisha uamuzi wako wa kutoka JF
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ bila ya mkwara humu autoki mkuu
 
Mkuuuuu safarii njemaa tunakutakiaa safari njema huko uendako mkuu mimi sitoki ng'ooo labda nifukuzweee hakuna media napenda kama humu ndaniii utakosaa vitu vizurii kwa pple of greatthinker

Baba jeska naye yumo humuuu aakuona ujue na atafurahiii
Atoki mtu hapa nakomaa mkuu
 
Kama shida yako ni likes na reply nenda kwa makapuku. kule hata ukiweka nukta unakula likes 10. Kuna raia kule wana mwaka au miaka miwili tu lakini kwa kwa points and trophies wanawafukuzia wakina Mshana jr wenye miaka dahali hapa na nguvu za ziada.
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ mie wa hapa hapa mkuu
 
Sasa buni mkwara mwingine mkuu leo wamekuja wenyewe lakin kama utapost tofauti na mkwara utadoda
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ na nilishadoda mkuu, lkn sasa nyota inang'aa baada ya huu uzi.
 
Naona like tayari umezipata
Hongera! Sana mkuu
 
unatingisha kiberiti jombaa.!? kisa likes na comments!!

haya pokea likes na kula comments
 
Ni idadi ngapi ya like unaziitaji kwa kila thread yako unayoleta humu ili usiondoke mjomba??!
 
Pole ila ukitaka malikes ukwende kwenye uzi wa jembe wa kupeana like mkuu
 
Nimerudi tena kuwashukuru wale wote mlionipa like, na ku comments mungu awabariki sana wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…