Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
Nashindwa kushangaa hata mimi, hizi ni dalili za kutokujiamini.Watu mmekuwaje? Yaani MTU mzima unalilia comment na likes!!!! Vyuma vimekaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashindwa kushangaa hata mimi, hizi ni dalili za kutokujiamini.Watu mmekuwaje? Yaani MTU mzima unalilia comment na likes!!!! Vyuma vimekaza.
Comments yako muhimu sana kwangu, mungu akubariki mno.Nashindwa kushangaa hata mimi, hizi ni dalili za kutokujiamini.
Asante, akubariki na wewe pia farudume.Comments yako muhimu sana kwangu, mungu akubariki mno.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 sanaaa maana wengine, si kwa mapovu haya.Ubinadamu kazi mkuu kuwa na subira
Safari njema ya kwenda wapi, marangu mkuu.Haya safary njema
Safari njemaKuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Kila la kheri
Haya nishakupa like tayarKuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Ubarikiwe mkuu kwa comments [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Na wewe na wengine wote, mungu awabariki sana kwa, ku Comments uzi huu.Huo ndio ukwel halisi,.mimi mpka sasa nimekuwa mpenzi mtazamaji tu...