Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Leo katika Historia Tarehe kama ya leo simba, alimfunga yanga 2 - 1 na mashabiki wa Simba wakang'oa viti.
 
waswahili wanasema tenda wema uende zako...
hii methali inamaan kubwa sana kaka na laiti ungeielew wala leo ucngeamua ayo maamuzi ulofikia leo. Unatoa andiko lako apa elimisha watu theb tembea ukisubiri shukran ndo mwisho utaona kila mtu anakubagua...
 
Sawa mkuu ntazingatia, ushauri wako nimeupenda.
 
Uamuzi ulioufikia hauna afya hata kidogo. Kumbuka katika darasa wanafunzi wote hawalingani viwango vya uelewa, kuna wenye kuelewa darasani papo hapo na kuna wanaoelewa kuputia masomo ya muda wa ziada (tuition) na hata kupenda masomo pia wanatofautiana. Kuna wanaopenda hisabati na wengine wanapenda somo la uraia lakini wote wako darasa moja.

Nataka nikujulishe kuwa hali uliyoiona hapa JF, ipo pia mitandao mingine. Mfano fb ukipost mada yenye mashiko kwa jamii unaweza usipate komenti wala like, lakini mtu anayepost picha yake tu au kusema leo ni siku yake ya kuzaliwa, basi kimenti utaziona za kumwaga.

Nilichojifunza mimi kwa upande wangu ni kwamba, kwa sehemu kubwa watanzania ni wavivu wa kusoma hivyo wanataka vitu visivyowachosha.

Nakushauri endelea kuwepo na pamoja na kupost ipo siku watakuelewa na upepo utabadilika.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Ubarikiwe sana mkuu, zoezi la kuleft alipo tena, nimelihailisha maana si kwa mahaba haya mlionipa wakuu mungu awabariki sana.
 
Shida comments sio haya tayari time comments usiondoke mkuu
 
EEEH MUNGU WALINDE WATOTO WA KIKE!!! NA MAFATAKI NAYO BADO YAPO [emoji24] [emoji24] [emoji120] .
 
Kwa coments na likes izi utoke uende wapi,umeshakuza jina
 
Tatizo user names zingine za kipuuzi mno kama hiyo ya kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…