Tatizo la @Ababasfarudume ni kuwa huwa hatoi likes kwa watu wengine, pia yeye huwa mzito sana kukoment kwenye nyuzi zingine, mara nyingi utamuona kwenye nyuzi zake tu. Alipokuwa anaingi alikua anapost hadi nyuzi zaidi ya tano kwa siku, halafu nyuzi zenyewe magumashi tu (utakuta kapiga picha watu wanakula kwenye hitima). Sasa unatarajia watu wakoment nini?
Hata hivyo JF ndio ilivyo, ina changamoto zake na miongoni mwake ndio hizi. Wana JF wana makundi, wengine mwenzao hata akianzisha uzi uso na maana watacomment tu. Mkuu abbas farudume vumilia tu, mwisho wa siku utatambulika rasmi humu. Tena huu uzi ulioweka ni kiki tosha.