Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

R.I.P haina haja ya kuaga kwa kuwa hata kuingia kwako hukuomba ruhusa ya kuingia!
 
Baki bana c umeona ulivopata comments na likes za kutosha ila cha msingi ujielewe tu jf umefata nini basiii hizo likes wala comments hazitokusumbua.
 
R.I.P haina haja ya kuaga kwa kuwa hata kuingia kwako hukuomba ruhusa ya kuingia!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Pitia comnents mkuu, nimeshahilisha kutoka, sio unakulupuka tu kama umekumbwa na tumbo, la kuharisha [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Pitia comnents mkuu, nimeshahilisha kutoka, sio unakulupuka tu kama umekumbwa na tumbo, la kuharisha [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23]
Si unaona ulivyo na IQ kubwa? PHD yako ya ujinga ulipatia chuo gani?
 
Jamaa anatafuta haki ya kuthaminiwa na kutambulika ktk Jamii inayomzunguka(jamii forum)

Hili ni Hitaji la kila kiumbee,msimkosoe
 
Si unaona ulivyo na IQ kubwa? PHD yako ya ujinga ulipatia chuo gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kiongozi wangu na mwalimu wangu mkuu, wa ujinga si wewe. Kwaiyo hapa leo upo na mwanafunzi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…