Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

duh kumbe bado wajinga wapo Bongo! unataka like ya nini kama unaandika pumba
 
Angalizo mtu akileta ukorofi humu namuendea kwq mshana jr: amshushe busha [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
duh kumbe bado wajinga wapo Bongo! unataka like ya nini kama unaandika pumba
Wajinga tuko wengi mkuu, kwa sababu nielewavyo mie pumba ziku kwenye mahindi peke ake, hila ubarikiwe sana shida yangu kubwq Comments yako mkuu.
 
Abbsfarudume wewe mgeni kwanza, pili uandishi wako haujawa sawa. Mfano ka upendeleo cha, halafu unasema auna badala ya hauna.
Mimi si Faizafox lakinikusema kweli kama unataka watu wakupe likes kama ulizopewa hapo inabidi uandike kimantiki na utumie lugha sanifu kidogo. Thanks.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] Dada Faizafox: mwenyezi mungu amjaalie. Naona mwalimu nzuri sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…