Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Maxence melo ndani ya itv wakati huu ndani ya meza huru kwenye, mada ya leo wakijadili sheria za mitaneao ya kijamii je zinachukuliwa.
 
Ongeza zingine mkuu sijatosheka bado [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
Hebu anza kutoa like kwa wachangiaji, itawahamasisha sana. kwenye profile yako ni kama vile huwa huoni kitufe cha likes kilipo
 
Hebu anza kutoa like kwa wachangiaji, itawahamasisha sana. kwenye profile yako ni kama vile huwa huoni kitufe cha likes kilipo
Sawa mkuu like zinaendelea ya kwako nishakupa mkuu wangu [emoji120] [emoji106]
 
Kila la kheri na baraka tele muwe, na usiku mwema na njozi njema wakuu.
 
Dah... "Shule mlienda kusomea ujinga?'' - Faiza foxi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…