Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23]
 
Kuhusu kujuana humu j.f ipo sana tena sana tuu hilo nimeliona ila kuhusu comments na like ukitoa uzi wenye mashiko watu watacomments tu hata kwa mapovu!! muhimu ujumbe ufike.
Message sent mkuu
 
Kama ukiandika pumba za uvccm na lumumba unategemea nini?????
 
Hahahah wehujapasoma hapa
KUNA WAPENZI HUMU HUMU WA MAELEWANO TUU ILI KUNOGESHA THREAD HASWA HASWA KWENY MU, HAMNA UHALISIA HAPA SO USIJE KUONA WATU WANACOMMENT NA KILIKE POST ZA WATU KAMA WANAJUANA VILE LAKIN HAMNA KITU, SO WE KOMAA TUU HAPA MBONA PAKUPOTEZEA MDA TUU
 
Shida yangu ilikuwa comments na like moyo wangu Umetulia sasa tugange yajayo wakuu
Kwahiyo hutoki tena JF?
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
miami0101: Aminiaaa jomba
 
wenzako tushaona jambo hilo siku nyingi, tumeamua ku like na ku comment tu,mambo ya kuanzisha uzi tushaacha.
 
SIKUSHAURI kabisa uende huko kwingine.... SIKUSHAURI utoke JF, kuna maarifa mengi sana hapa.. Wala usikatishwe tamaa na kukosa pongezi... Komaa andika kila utakachoona kina tija kwenye jamii kuondoka JF ni sawa na kujikataa SIKUSHAURI tafadhali baki
 
SIKUSHAURI kabisa uende huko kwingine.... SIKUSHAURI utoke JF, kuna maarifa mengi sana hapa.. Wala usikatishwe tamaa na kukosa pongezi... Komaa andika kila utakachoona kina tija kwenye jamii kuondoka JF ni sawa na kujikataa SIKUSHAURI tafadhali baki
Sidhani kama atatoka tena maana hadi sasa huu uzi wake ninavyoandika hii comment yangu wameuona watu 410 na hii comment yangu ni ya 57
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…