NITUME NIKUTUMIKIE
Member
- Apr 28, 2024
- 22
- 31
- Thread starter
- #21
Ndiyo mkuu Kipindi Nipo Moro nilikua nanunua viatu vya kike dar natembeza kitaa Sasa saivi kwa huku Dom napaona mbali mnoUmewai kufanya biashara yoyote hapo kabla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu Kipindi Nipo Moro nilikua nanunua viatu vya kike dar natembeza kitaa Sasa saivi kwa huku Dom napaona mbali mnoUmewai kufanya biashara yoyote hapo kabla?
Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800kMimi NIPO Area A mkuu mtumba napajua nipe muongozo kuna biashara gani mkuu
Duh 😁Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida
Duh [emoji16]
Dah jamaa kwamba awe dalali wa malajah 🤣🤣Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida
Angoje waje kumpa muongozo...
Hakika awe hivyoDah jamaa kwamba awe dalali wa malajah 🤣🤣
Faida kwa mwez 50kArea A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida