Wakuu naomba ushauri: Hii laki nane niliyonayo mfukoni nifanye biashara gani ili niweze kuizalisha?

Wakuu naomba ushauri: Hii laki nane niliyonayo mfukoni nifanye biashara gani ili niweze kuizalisha?

Mimi NIPO Area A mkuu mtumba napajua nipe muongozo kuna biashara gani mkuu
Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida
 
Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida
Duh 😁
 
Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida
Dah jamaa kwamba awe dalali wa malajah 🤣🤣
 
Anzisha biashara ya kukopesha kwa riba.

laki nane hukosi faida 160,000 kwa wiki 2

zingatia:
Andikishana ofisi ya serikali ya mtaa

2. chukua kitu chenye thamani mara 2 ya mkopo weka ndani
 
Area A kuna mizigo inauza utelezi kinoma!! Chukua mageto kama matano i.e vyumba vitano, ingia mida ya night anga zao liunge limoja then lipe idea yako kuwa kuna vyumba unapangisha hasa kwa wadada wenye kazi kama yake. Kama umechukua kwa 40k per month we mwambie ni 50k. 40k×5rooms×4months =800k
Subiri laki 2 kila mwezi as faida
Faida kwa mwez 50k
50k×5rooms= 250k
40k×5rooms=200k
Hku Dar chumba n 5k kwa siku
30days ×5K = 150k kwa mwez
 
Back
Top Bottom