Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Hii itakuwa gari yangu ya 5 kumiliki nimetamani tu kuendesha gari kubwaMmmhhh sijui, kwanini unaharaka sana ya kuwa na gari, kwanini ununue gari bovu tena likiwa garage.
Hapo sawa, vijana wa mjini watasema Chombo ya Fundi.Hii itakuwa gari yangu ya 5 kumiliki nimetamani tu kuendesha gari kubwa
Gari gani hiyo ya m7ACHANA NALO MZEE
Maana gharama utakazo ingia hapo top inaweza fika Mil 6-7 sasa si bora ununue gari la Mil 7.
Karibu mkoani Dar.Gari gani hiyo ya m7
PASSO MPYAGari gani hiyo ya m7
Naendesha passo kwa sasa, na ni ya 2 kumiliki so ninataka kubadili ladha tuPASSO MPYA
Milion 7 ipo gx110 no D imenyooka saaaanaNaendesha passo kwa sasa, na ni ya 2 kumiliki so ninataka kubadili ladha tu
Gari ya 5 na gari kubwa ndo hii pajero. OkHii itakuwa gari yangu ya 5 kumiliki nimetamani tu kuendesha gari kubwa
Una brevis ya mil.3?Milion 7 ipo gx110 no D imenyooka saaaana
Ipo ya 5.4milion imenyooka sana no DUna brevis ya mil.3?
Hela hiyo ninayo ila nilitaka brevis ya mil 3 ili nibaki na salio linisukume kununua petroli si unajua tena gari zenyewe hizi ni mshipaIpo ya 5.4milion imenyooka sana no D
Unaeza pata ila pesa inayobaki haitakusaidia petrol tu itakusaidia pia kujuana na mafundi wengiHela hiyo ninayo ila nilitaka brevis ya mil 3 ili nibaki na salio linisukume kununua petroli si unajua tena gari zenyewe hizi ni mshipa
Unanunua mikwecheHii itakuwa gari yangu ya 5 kumiliki nimetamani tu kuendesha gari kubwa