Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Kuna mshkaji wangu anauza gari mitsubish pajero kama hili. Naitaka kwa 3m. Nimeuliza mafundi nikaambiwa inaingia engine ya hiace . Maana engine za pajero pasua kichwa.
Kama kuna mtu anaelewa vizuri hebu mnipatie option maana nataka niichukue nibadilishe engine. Ndani gari bado nzuri sana na ac ni nzima.
Kama kuna mtu anaelewa vizuri hebu mnipatie option maana nataka niichukue nibadilishe engine. Ndani gari bado nzuri sana na ac ni nzima.