Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,114
- 4,486
Bushmamy waambie hao masai tuwasiliane. Huyo mgonjwa arudishwe hospitali akapate dawa ya kutuliza hizo severe attacks otherwise itakuja imbane azime mazima kabisaa!
Na inategemea na umri wa huyo mgonjwa kama yupo aged sana na ugonjwa anao kwa muda mrefu ni hatari sana.
Atumie inhaler asitumie salbutamol ndo mbaya zaidi.
Pumu ni ugonjwa mbaya na hatari sana hasa mgonjwa akiwa mtu mzima dying is a matter of few seconds
Waachane na waganga matapeli.
Binafsi nilikuwa mgonjwa wa asthma tangu utotoni mpaka nikiwa 30s ila nilipata msaada wa tiba ndani ya siku moja tu nikapona tokea 2012 mpaka leo 2020 sijapata mashambulizi tena.
Wazazi wangu na mimi pia tuliliwa pesa nyingi sana mpaka nikakata tamaa ya kupona.
Waambie hao wanaomuuguza tuwasiliane nimtumie hiyo dawa iliyoniponyesha niwatumie ajaribu.
Hii ni bila malipo sitaki hata mia ya huyo maasai kokoo.
Na inategemea na umri wa huyo mgonjwa kama yupo aged sana na ugonjwa anao kwa muda mrefu ni hatari sana.
Atumie inhaler asitumie salbutamol ndo mbaya zaidi.
Pumu ni ugonjwa mbaya na hatari sana hasa mgonjwa akiwa mtu mzima dying is a matter of few seconds
Waachane na waganga matapeli.
Binafsi nilikuwa mgonjwa wa asthma tangu utotoni mpaka nikiwa 30s ila nilipata msaada wa tiba ndani ya siku moja tu nikapona tokea 2012 mpaka leo 2020 sijapata mashambulizi tena.
Wazazi wangu na mimi pia tuliliwa pesa nyingi sana mpaka nikakata tamaa ya kupona.
Waambie hao wanaomuuguza tuwasiliane nimtumie hiyo dawa iliyoniponyesha niwatumie ajaribu.
Hii ni bila malipo sitaki hata mia ya huyo maasai kokoo.