wakuu jongeeni basi kwenye huu uzi mseme yenu
Hyo pcm yenyewe hujajua kama utaifaulu hapo form 6 tayari umeanza kuomba ushauri wa nin cha kusoma chuo!kijana,ucje ukaone watu wanabutua dv 1 au 2 za pcm ukadhani ni rahisi kihvyo!jipange kwanza kwenda kukabiliana na advance then ndo urudi hapa kwa ushauri.
Compyta hailipi labda kam utakuw mwlmu wa kompyta... Dogo msuli w a-level kumuomb Mungu tu haitoshi... Jipange sana sana egm yenyw inakuweka macho ucku kucha sembuse pcm.. For the time being go for tution thnk about excellin first then other wl come automatical...uwe n fedha y kutosha ya nauli n tution fee .... Tatzo la private mwlmu ukimkut hajui tayar imekul kwk mapind kupiga ni mpka likizo heheheg....matokeo yk y 4m six ndio yatakwmbia usome nini pia sera y selikari mfno sas hv maswl y gec au pengne home background ...w2 weng wanakuwga n malengo yao tangu wadogo lakn kadr anavyzd kukua wanabdlika kutokan n fursa zilizopo...mfno mim ndoto yang ilikuw auditor(mkaguz wa hesabu hususan kifdha) lakn sa hv naxomea kuw quantity surveyor....kikubwa ni kufaulu sana alafu mengne yanakuja yenyw
una mawazo mazuri sana kijana,lakini huo uandishi wako ni mbovu balaa,quantity surveyor gani una uandishi mbovu namna hii?jirekebishe bana.
There other things come automatically...hilo swala lako usijali utalifahamu tu siku ikifika mungu akipenda. Cha kufanya muda huu kabla post za shule bado hazijatoka fanya hivi..
1:katafute tuition upige maana mziki wa PCM sio kama penalti za ozil
2:tuion uwe unasoma jumatatu hadi alhamisi
3:the rest days ambazo ni ijumaa hadi jpil katafute kituo chochote cha computer usome then itakusaidia mbelni uendako
4:tafuta mwanafunzi au mtu yeyote aliyesomea maswla ya PCM akupe ushauri wa kutosha juu ya swala lako.......
Compyta hailipi labda kam utakuw mwlmu wa kompyta... Dogo msuli w a-level kumuomb Mungu tu haitoshi... Jipange sana sana egm yenyw inakuweka macho ucku kucha sembuse pcm.. For the time being go for tution thnk about excellin first then other wl come automatical...uwe n fedha y kutosha ya nauli n tution fee .... Tatzo la private mwlmu ukimkut hajui tayar imekul kwk mapind kupiga ni mpka likizo hehehe....matokeo yk y 4m six ndio yatakwmbia usome nini pia sera y selikari mfno sas hv maswl y gec au pengne home background ...w2 weng wanakuwga n malengo yao tangu wadogo lakn kadr anavyzd kukua wanabdlika kutokan n fursa zilizopo...mfno mim ndoto yang ilikuw auditor(mkaguz wa hesabu hususan kifdha) lakn sasa hivi naxomea kuw quantity surveyor....kikubwa ni kufaulu sana alafu mengne yanakuja yenyw
naenda private mkuu
mimi nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana nmefaulu naenda A level na kombi ya PCM....sasa nilitaka nikifika chuo nisomee mambo ya computer,,,je nijipange kusomea upande gani wa computer??....kama nimekosea mahali ruhusa kunisahihisha
Kijana uko chuoni kweli? Mbona hujui kuandika? Kwa uandishi huu sishangai hata hiyo EGM ilikutoa jasho.Compyta hailipi labda kam utakuw mwlmu wa kompyta... Dogo msuli w a-level kumuomb Mungu tu haitoshi... Jipange sana sana egm yenyw inakuweka macho ucku kucha sembuse pcm.. For the time being go for tution thnk about excellin first then other wl come automatical...uwe n f edha y kutosha ya nauli n t ution fee .... Tatzo la private mwlmu ukimkut hajui tayar imekul kwk mapind kupiga ni mpka likizo hehehe....matokeo yk y 4m six ndio yatakwmbia usome nini pia sera y selikari mfno sas hv maswl y gec au pengne home background ...w2 weng wanakuwga n malengo yao tangu wadogo lakn kadr anavyzd kukua wanabdlika kutokan n fursa zilizopo...mfno mim ndoto yang ilikuw auditor(mkaguz wa hesabu hususan kifdha) lakn sasa hivi naxomea kuw quantity surveyor....kikubwa ni kufaulu sana alafu mengne yanakuja yenyw
Compyta hailipi labda kam utakuw mwlmu wa kompyta... Dogo msuli w a-level kumuomb Mungu tu haitoshi... Jipange sana sana egm yenyw inakuweka macho ucku kucha sembuse pcm.. For the time being go for tution thnk about excellin first then other wl come automatical...uwe n fedha y kutosha ya nauli n tution fee .... Tatzo la private mwlmu ukimkut hajui tayar imekul kwk mapind kupiga ni mpka likizo hehehe....matokeo yk y 4m six ndio yatakwmbia usome nini pia sera y selikari mfno sas hv maswl y gec au pengne home background ...w2 weng wanakuwga n malengo yao tangu wadogo lakn kadr anavyzd kukua wanabdlika kutokan n fursa zilizopo...mfno mim ndoto yang ilikuw auditor(mkaguz wa hesabu hususan kifdha) lakn sasa hivi naxomea kuw quantity surveyor....kikubwa ni kufaulu sana alafu mengne yanakuja yenyw
mimi nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana nmefaulu naenda A level na kombi ya PCM....sasa nilitaka nikifika chuo nisomee mambo ya computer,,,je nijipange kusomea upande gani wa computer??....kama nimekosea mahali ruhusa kunisahihisha
Kijana uko chuoni kweli? Mbona hujui kuandika? Kwa uandishi huu sishangai hata hiyo EGM ilikutoa jasho.