fantastic philip
Senior Member
- Oct 17, 2015
- 195
- 688
Huyo jamaa yuko instagram nimuangalie
Not sure jaribu ana store ya Car accessories
TANGAZO TAYARI.Ingia insta mtafute #old school rides
Mkuu kwy gar ya ndoto yako ndo uliwekea bajet ya 2.5Chenye hali nzur natoa 2.5-3m
Watu wenye mvi zao tunawazoom tu!Mwak 95 ndio gar ya kwanzakuinunua
Japan hazijawahi kukanyaga, hii ni ubunifu wa Hitler mjerumani, alitaka gari itakayoweza kwenda jangwani ambako hakuna maji kabisa.Nimeiona moja mbez huku last week..ikanichanganya sana..jamaa kakapaka rang ya pink..halaf ndan keupeee peee..kana ngaa balaa..kasafiiiiiii...sjui mtandaon japan vipo hiv..sjui hata vinatokaga wap
Kuna post nakupa link jichagulie moja tuongeeJamani eeh...mim hii gar kwa wakat huu ndo my dream car...nataka niipate nii pimp kiwe convertable...yaan naipenda hii gar jaman
Anaejua napoweza pata kwa bei nzur na hali nzur....sjui nikaweke engene gan haka
Ushaur wenu wakuu...
Uzi tayarView attachment 1928468
Pia mcheki Daudi Magari MabovuNgoja nimchek
Ila watu zamani walikuwa wabunifu sana ukiiangalia hii body au ya 109 yaani huna cha kukosoa!Jamani eeh...mim hii gar kwa wakat huu ndo my dream car...nataka niipate nii pimp kiwe convertable...yaan naipenda hii gar jaman
Anaejua napoweza pata kwa bei nzur na hali nzur....sjui nikaweke engene gan haka
Ushaur wenu wakuu...
Uzi tayarView attachment 1928468
Chenye hali nzur natoa 2.5-3m
Japan hazijawahi kukanyaga, hii ni ubunifu wa Hitler mjerumani, alitaka gari itakayoweza kwenda jangwani ambako hakuna maji kabisa.
Bei zake bila tozo hazikamatiki, Mwaka Jana siku ya Nyerere Day tulikuwa Leaders Club. Kulikuwa na event ya magari ya kizamani Kuna mwamba alikuja na VW Beetle aliagiza Marekani mpaka inafika Bongo alisema ametumia kama 50millions.kule be forward Beetle ziko kama kawa.
Nakubali mkuu,hizo Bei ndio zenyewe Sasa.Yaani vintage wauze kwa Bei ya Corolla itawezekanaje mkuu.?Bei zake bila tozo hazikamatiki, Mwaka Jana siku ya Nyerere Day tulikuwa Leaders Club. Kulikuwa na event ya magari ya kizamani Kuna mwamba alikuja na VW Beetle aliagiza Marekani mpaka inafika Bongo alisema ametumia kama 50millions.
Jamaa huwa anakapaki tu hapo nje kama vile kapo kwenye maonyeshoNenda kwa mchapakazi Mwanza, jamaa ukimloga unaweza ukainunua yake [emoji1787]