Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
ni mfano wa makohozi kama sio kamasi yaani imekuwa kero...... yananilazimu kuyavuta kila dakika kuptia tundu zilizomo kinywan zinanazoptsha hewa mpaka puan huwa nashndwa kuvtema kwan huwa vnakuwa vdogo na vizito vinaishia kooni...naishiaga kuvimeza tu.......yaan nikipenga kwa pua sina kamasi kabsa......msaada wakuu!