Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Najipa big up maana huwa naweka level ya 100 kwa Dalmax checkers namkalisha mi binafasi kwa sasa nipo level ya juu sana,
Nilianza kucheza draft nna miaka 10.
Nipo hapa kinondoni, nawafundisha vijana draftWewe kibonde upo?
Nipo hapa kinondoni, nawafundisha vijana draft
Kaka mimi nimeshawahi kuiwakilisha Tz kwenye michezo ya jumuia ya Madola kwa mchezo wa draft, usinichukulie poaHahaha, hao hawatakaa wajue. Kama wewe ndiye mwalimu wao!
Kufikiria michezo minne mbele sio kazi rahisi, Mimi kuwa nafikiria 2 tu na pia siwezi kujiita Bingwa wa draft kabisaAnzia chini,
Kisha njoo na watu wa level yako,
Kisha panda waliokuzidi kidogo halafu tafuta mabingwa...
Kaka mimi nimeshawahi kuiwakilisha Tz kwenye michezo ya jumuia ya Madola kwa mchezo wa draft, usinichukulie poa
Hata kama sio rahisi huo ndo Ukweli.Unataja kama vile ni kitu rahisi.
Download app inaitwa Checkers|Draughts online...Hapo mnaweza kucheza online au kujoin match kwa kutumia username zenuHii ya online ikoje?
Fanya kuelekeza nikupe shule ya draft
Acha kumdanganya mwenzio.Hahahaahahaaa kwanza darasani somo la hesabu ulikuwa unapataje???
Amini nakuambia mabingwa wote wa draft wanajua hesabu hata km hawakwenda shule.Draft ni mchezo wa Akili na wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ndo wanashinda otherwise utakuwa mchezaji wa Copy flani na ikipanguliwa kdg unafungwa vby sana
Draft mara nyingi linachezwa na wanaume nyie kinamama hata msipolijua haina shidaWasalaam wakuu.
Nimejaribu njia nyingi, kuangalia tutorials,Kucheza online, kudownload checkers, kucheza na watu lakini mara nyingi naishia kula za uso tu.
Hivi hakuna app ya kunifunza strategies step by step?
Kila siku nachekwa kijiweni hadi naona aibu kuomba mechi.
Asante kwa mchango madamDraft mara nyingi linachezwa na wanaume nyie kinamama hata msipolijua haina shida
mkuu hesabu za darasani na za draft tofauti kabisa ,Nikiendaga vile vijiwe vya draft nawakutaga jamaa vilaza tu kwenye hesabu alafu sisi tunaojua,log,matrix na ndugu zake kina probability tunafungwa tu binafs naupenda sana huu mchezo mpaka nimedowload game kwenye kitekno bt kila siku nafungwa tu.Hahahaahahaaa kwanza darasani somo la hesabu ulikuwa unapataje???
Amini nakuambia mabingwa wote wa draft wanajua hesabu hata km hawakwenda shule.Draft ni mchezo wa Akili na wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ndo wanashinda otherwise utakuwa mchezaji wa Copy flani na ikipanguliwa kdg unafungwa vby sana
Si kweli,wala hakuna uhusiano. Yupo jamaa nimesoma nae alikua dhaifu mno darasani, jamaa hata kuandika tu shida lakini ni mwamba wa draftiHahahaahahaaa kwanza darasani somo la hesabu ulikuwa unapataje???
Amini nakuambia mabingwa wote wa draft wanajua hesabu hata km hawakwenda shule.Draft ni mchezo wa Akili na wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ndo wanashinda otherwise utakuwa mchezaji wa Copy flani na ikipanguliwa kdg unafungwa vby sana
Umenichekesha sana, mbona ni kitu rahisi sana hakihitaji hata kuanzishiwa madaUmeona?mpaka sometimes huwa nahisi draft ni kama kujua lugha au kuendesha baiskeli usipolijua utotoni inakuwa ngumu sana kulimasta ukubwani...ila ukishalijua hata usipocheza miaka 10 ukirudi inakuwa kama unakumbushia tu
Kufikiria michezo minne mbele sio kazi rahisi, Mimi kuwa nafikiria 2 tu na pia siwezi kujiita Bingwa wa draft kabisa
Si kweli,wala hakuna uhusiano. Yupo jamaa nimesoma nae alikua dhaifu mno darasani, jamaa hata kuandika tu shida lakini ni mwamba wa drafti