Daah upo Kama Mimi pamoja na kufaulu hesabu za shule kutoka msingi mpaka kuja kuwa Mhandisi eti hesabu za draft zimenipiga chenga.
Nimejaribu kufuatilia kwa kuangalia wataalamu wanavyocheza bado naona maruweruwe tu. Nimebaki kuwa mtazamaji tu na kusikiliza maneno ya kwenye draft ndiyo starehe yangu iliyobaki.
Sijui nianzie wapi ili niweze kumaster huu mchezo.