Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
tembelea vituo mbalimbali vya afya kupata jibu la jumlaHospital nlienda kaka daktari akaniambia kwamba Hawa sio fungus ni kitu kinaitwa geographic tongue ila mm nimekuwa na wasiwasi sana baada ya kukutana na huyo binti kama mienz mitatu iliyopita
UtamuHivi dogo mnatafuta nini huko?
Hahahaaahamna raha kuzama chumvini na kupiga deki kama ukimpata mwanamke msafi utafaidi sana na hutopata taabu sanaa....wadada wasafi wanajua huo mziki maana nilishawahi zama chumvini pamoja na kupiga deki kwa muda wa masaa sita na sijawahi achwa hadi leo........chumvini hoyeeeeeee......cc mawaya
Assante kaka ntafanyia kazi ushauri wakoChumvini ni hatari sana kwenda,tena kwa hawa wadada wa kibongo wanaofuga kucha..na wale wanaotumia vyoo vya low standard..
Hao ni candida mkuu..wahi mapema uanze dozi ya maybe nystatin oral,..au kama fluconazole.
Pia unaweza kuwahi hospital kupata ushauri mzuri zaidi
Nenda kwa daktari wa magonjwa ya kinywa usichelewe unaweza zalisha tatizo kubwa kwa kukaa kwako online kuomba misaadaNisaidie mkuu ndio inakuwaje hiyo je nkiwah naweza pona