Sawa. Nenda ukonga utamkutaWakuu heshima kwenu.
Aisee nilikua nasikiliza wimbo wa Papii kocha Salima..nimemkumbuka sana yule bwana..ningekua karibu ningeenda kumtembelea gerezani..dah maisha haya.
Wakuu heshima kwenu.
Aisee nilikua nasikiliza wimbo wa Papii kocha Salima..nimemkumbuka sana yule bwana..ningekua karibu ningeenda kumtembelea gerezani..dah maisha haya.
Daaaaahhhhhh! Mtoa post umenitoa machoz na kunikumbusha mbali kidogo.Nakumbuka fiesta ya mwaka jana 2016 Christian Bella ( King of melodies) alipopanda kwenye stage aliimba kidogo wimbo wa Papii Kocha (FANTA),hyo ngoma ni tamu sana ikipigwa live...,kumpoteza Papii Kocha au Nguza Viking ni pengo kubwa sana kwa sanaa ya Bongo
sexually interested in children. Nani anafahamu ukweli wa hii case pengine kweli ni paedophile au vagina. Maana unapokuwa na ugomvi na mtu kama unamambo unayafanya kwa siri, hutumia kama sababu ya kukuangamizaHao paedophiles hawafai hata kukumbukwa acha wakae mbali na jamii.
Kwani kuna ubaya Mkuu?KWANINI UMEBOLD HYO SALIMA?
sexually interested in children. Nani anafahamu ukweli wa hii case pengine kweli ni paedophile au vagina. Maana unapokuwa na ugomvi na mtu kama unamambo unayafanya kwa siri, hutumia kama sababu ya kukuangamiza