Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Yaani imekua ni gafula alafu ni duu makali aiseeeLabda ndo jini mahbaa amekuvaa
Mkuu mi siwazagi mizagamui masaa 24 bana ebu kuwa na stara banaMkuu haina maana yoyote ni kwamba ubongo wako unawaza mizagamuo 24hrs wakati upo macho , ndio maana ukiupumzisha mwili kuna kuwa na reflection ya yale mawazo yako katika mchakato wa REM ( rapid eye movement) .
Kabla ya kulala clear mind kwa meditation 🧘♂️Mkuu mi siwazagi mizagamui masaa 24 bana ebu kuwa na stara bana
Mkuu mi na ngono vtu viwili tofautKuwaza ngono kulipa kodi za taifa aah🥶
Sijafanya ngono nina miezi mkuuACha kuwaza ngono
Mkuu mimi ni mtu mzima nishavuka hilo la barekhe ujue ..Pole sana Kwa hayo maswahibu
Kiashiria kimoja wapo kwamba Mtu amebarehe ilikuwa ni pamoja na ndoto nyevu kama hizo, mara nyingi ilikuwa inawakumba Vijana wa Rika la miaka 14-18 hapo.
Nakumbuka wakati wa barehe yangu nilikuwa naweza kuota nashirikiana na Mwanamke na kwenda hata safari mbili within ndoto moja.
Asubuhi nakuta Boksa imechafuka hasa 🙌
Ukishavuka umri wa barehe, na bado ukaendelea kuota unafanya ngono huwa inaashiria kwamba;
Unafikiria sana ngono, hivyo ukilala unajikuta unaota ndoto za kufanya ngono
Pili huwa ni ishara kwamba unatembelewa na Jini Mahaba, hivyo kujikuta unashiriki naye ngono.
Tatu, ni kiashiria kwetu Wazazi kwamba Kijana wetu umekuwa, hivyo tukulazimishe Uoe, hata kama utakuwa hauna kitu ndani
Bora tuuze mashamba yetu pamoja na Viwanja ili Kijana wetu uweze Kuoa, vinginevyo vipande vya Sabuni na mafuta yatakuwa yanaisha Kila Siku 😜
Sizani mkuu nahisi kuna mchawi ananitaka hvo kaja kitaalamuOya mzee umemzagamua jini
Sawa mkuu huwa najaribu kufanya kwa kusikiliza miziki lainiKabla ya kulala clear mind kwa meditation 🧘♂️
Daaah huyo fillipo aende kwa mashekhe tuu mkuuKuna mwenzio akiwa na mkewe haisimami ila kwenye ndoto mkewe akibahatika kustuka anakuta Afande yupo wima.
Inachanganya Sana Ndugu Philipo
Mkuu yaani kaipaka asali imekua tamu kinoma an daaahKwahiyo ulilamba UTI iliyochanganywa na asali🍯?