Mental Ability
Member
- Oct 26, 2024
- 28
- 16
Punguza kuangalia video za PILAU.Wakuu nimeota nafanya mapenzi..
Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.
Wakuu hi inamaana gani.
Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee..
Mwenye simu hayupo..
Mkuu siangaliagi sana ni mara chache tena mda nao angalia kama kuna mteja kaja anahitaji hizo videoPunguza kuangalia video za PILAU.
Ndio huyohuyo..Hongera bae wake maimuna...Yaani imekua ni gafula alafu ni duu makali aiseee
Mkuu nakumbuka mpaka radha an nimeshangaaa kwanini kaweka asali kule ALAFU akawa anasema nilambepole poorbrain,umeshituka umelamba na umetema nje koozi
Ebu kuwa na tafsida mkuu hii ishu ni ndotoUmelamba Kyuma ya mchawi mkuu
Unaweza kuwa mtu mzima lakini hujaoa...Mkuu mimi ni mtu mzima nishavuka hilo la barekhe ujue ..
Kama ni jini mahaba ni jinsi gani naweza kulitumia linipe pesa mkuu wangu maana daaah alikua ananipa vtu adimu
Meditation bora haifanyiki kwa kitu kinachotoka nnje yako 🤔 ukisikiliza pumzi yako inhalation and exhalation inatosha na ni bora zaidi.Sawa mkuu huwa najaribu kufanya kwa kusikiliza miziki laini
Sis mbona unazingua sasa ..Ndio huyohuyo..Hongera bae wake maimuna...
Si ulienjoy lakini?😊
Mkuu ukute ni kweli lishanipenda sana an..Unaweza kuwa mtu mzima lakini hujaoa...
Tueleze mapema ili mwakani tuweke kwenye Mipango, Kuna nyumba ya jirani yetu Mzee Shayo ana mabinti wazuri tu wanaofaa kuolewa 😜
Hao makini mara nyingi hukujia Kwa lengo la kukidhi haja zao tu za kimwili lakini sio kukupa Utajiri, labda kama litakupenda kiasi cha kuweza kukuzalia mtoto kama nisikiavyo
Sema tajaribu japo huwa nKua nachoka sana ais ee sijui ka tawezaMeditation bora haifanyiki kwa kitu kinachotoka nnje yako 🤔 ukisikiliza pumzi yako inhalation and exhalation inatosha na ni bora zaidi.
Nimekuuliza wewe hapo..na maimuna ndo hao makini mahaba..nimekutania tuSis mbona unazingua sasa ..
Mi sio bae wake maimuna..
Yaan nikivuta picha ndoto nzima daaaah ujue alikuja akafunga mlango alafu akawa anafosi nimshughulikie...
Badae nashangaa ananishika kichwa anasema nimnaniliu kule chini na mi nikafanya kweli nashangaa nakuta kweli kapaka asali..
Je ukiwa ndotoni unahisi radha yoyote ile
Nipo single mda mrefu...Nimekuuliza wewe hapo..na maimuna ndo hao makini mahaba..nimekutania tu
Nijibu;uko kwenye mahusiano ama single?
Kwa mda gani?
Sometimes hiyo Hali huwatokea walio single Kwa mda mrefu sana.
Haya.we pelelza utajua shida Nini, either spiritual ama upwiru tu basiNipo single mda mrefu...
Kama mwezi hivi sijawa karibu na shangzi dorry...
Ila akirudi huwa napoza hapo mkuu
Mchawi akikutaka anakujia live ila jini anakujia kwa njia ya ndotoSizani mkuu nahisi kuna mchawi ananitaka hvo kaja kitaalamu
Sis hapana kama upwiru huwa napima ikifika kilo 800 huwa naenda punguza...Haya.we pelelza utajua shida Nini, either spiritual ama upwiru tu basi
Mmmhh mkuu seriously z mchawi anakujaje liveMchawi akikutaka anakujia live ila jini anakujia kwa njia ya ndoto