Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

Mkuu mimi ni mtu mzima nishavuka hilo la barekhe ujue ..

Kama ni jini mahaba ni jinsi gani naweza kulitumia linipe pesa mkuu wangu maana daaah alikua ananipa vtu adimu
Unaweza kuwa mtu mzima lakini hujaoa...

Tueleze mapema ili mwakani tuweke kwenye Mipango, Kuna nyumba ya jirani yetu Mzee Shayo ana mabinti wazuri tu wanaofaa kuolewa 😜

Hao makini mara nyingi hukujia Kwa lengo la kukidhi haja zao tu za kimwili lakini sio kukupa Utajiri, labda kama litakupenda kiasi cha kuweza kukuzalia mtoto kama nisikiavyo
 
Ndio huyohuyo..Hongera bae wake maimuna...
Si ulienjoy lakini?😊
Sis mbona unazingua sasa ..
Mi sio bae wake maimuna..
Yaan nikivuta picha ndoto nzima daaaah ujue alikuja akafunga mlango alafu akawa anafosi nimshughulikie...

Badae nashangaa ananishika kichwa anasema nimnaniliu kule chini na mi nikafanya kweli nashangaa nakuta kweli kapaka asali..

Je ukiwa ndotoni unahisi radha yoyote ile
 
Mkuu ukute ni kweli lishanipenda sana an..
Maana sijawahi ingiza mwanamke ghett humu nina miezi..
Kingine ghetto ni safi na huwa napulizia marashi sana ukute kapenda nini..?

Sasa mkuu napataje advantage ya huyu kMa ni jini maana ndoto ya jana ilikua hatareee mkuu
 
Nimekuuliza wewe hapo..na maimuna ndo hao makini mahaba..nimekutania tu


Nijibu;uko kwenye mahusiano ama single?
Kwa mda gani?
Sometimes hiyo Hali huwatokea walio single Kwa mda mrefu sana.
 
Nimekuuliza wewe hapo..na maimuna ndo hao makini mahaba..nimekutania tu


Nijibu;uko kwenye mahusiano ama single?
Kwa mda gani?
Sometimes hiyo Hali huwatokea walio single Kwa mda mrefu sana.
Nipo single mda mrefu...
Kama mwezi hivi sijawa karibu na shangzi dorry...

Ila akirudi huwa napoza hapo mkuu
 
Mimi tangu wana wanisanue kua hayo huwaga ni majini, basi nikawa natamani yaje niyahondomole vilivyo, bahati mbaya hayajawahi kuja aisee.

Leo kula vizuri ulisubiri, likija unalichapa vilivyo kesho utakuta vibunda tu kitandani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…