Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

Wakuu nimeota nafanya mapenzi.

Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.

Wakuu hi inamaana gani. Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee.

Wakuu nafanya nn hi hali ijirudie tena.

Maana hata sikumfanya vzr

Mwenye simu hayupo.
It's a revelation to the functionality of poor brain to you as a poor brain person
 
Wakuu nimeota nafanya mapenzi.

Na huyo mtu naefanya nae alipaka asali kwenye naniliu yake akawa analazimisha mimi et nilambe. Naniliu yake.

Wakuu hi inamaana gani. Alafu huyo demu alikua mkali sana aiseee.

Wakuu nafanya nn hi hali ijirudie tena.

Maana hata sikumfanya vzr

Mwenye simu hayupo.
Dah 😁😁😁🤣🤣🤣🤣
 
Ni vyema ukamtumia mhamala kwa huyo uliomzagamua ndotoni! Tuma tu pesa na usimwambie chochote, hata akikuuliza endelea kupiga kimya tu mkuu.
We jamaa ndo unatula pesa zetu huku kwa betting sio 😄😄😄😄😄
 
Mjomba usiogope matumizi ndo kazi ya pesa hiyo, yaani sisi tuangaishane nao huku mitaa kupendezesha halafu kuna njemba moja inajilia kiulaini tu kwenye ndoto, kweli hii dunia haiko fair 😂
Mkuuu hapa nawaza Leo anaweza kuja tena...
Sasa namsubiri akija tuu najiandaa kwanza leo nakunywa energy za kutosha mkuu
 
Mjomba usiogope matumizi ndo kazi ya pesa hiyo, yaani sisi tuangaishane nao huku mitaa kupendezesha halafu kuna njemba moja inajilia kiulaini tu kwenye ndoto, kweli hii dunia haiko fair 😂
Kanjibai kule betpawa umeweka kitu gani mbona unatupiga vile
 
Kanjibai kule betpawa umeweka kitu gani mbona unatupiga vile
Mabetting yote mjini ni yangu nimeweka vijana tu wanikusanyie na nawaganyaga kweli kweli 😂 😂😂😂, nikipita kwenye thread ya wazee wa kuweka mpunga kwa ajili ya kubashiri huwa nacheka kihindi kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni sahihi ulichosema, ila ukiwa hauna changamoto zozote za kiafya, lazima upate hiyo shida

Ndiyo maana wakati ule wa Shule, ili kupunguza mihemko ilikuwa wanatuwekea mafuta ya taa kwenye chakula.

Ndoa hai- guarantee mapenzi, lakini huwezi ukaa Mwezi mzima hujapewa tendo

Na Siku ukipewa lazima ukamie mechi ili hata kama utanyimwa Kwa wiki tatu ama Mwezi usipate shida ya kuhaingaika na Dada wa kazi ama kwenda kununua mizigo hapo River side 🤗
Acha tu sometimes unafeel kuwehuka na vigubu visivyo na sababu kumbe sababu ukame hahaa
 
Back
Top Bottom