Wakuu nimeota nafanya mapenzi..

It's satanic....utaanza kuandamwa na gundu na mikosi..ndoto mbaya hiyo
 
Hata mm jamaa aseeπŸ˜‚ ila alihamdulilai pisi ilikuwa njema
 
Huwa mmejaliwa matope na pepo la uzinzi vichwani nini? Ukiota unakunya utatuambia hapa. Senzi we.
 
Rudi msikitin kaka! Omba sana Dua
 
Unasukumiwa mzigo muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…